mtu yeyote mwenye akili zake lazima atilie mashaka kitu kipya, labda sisiem tu ndo wanafuata mkumbo
Hizo chanjo hata wazungu wenyewe wana mashaka nazo
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mtoa mada si ukwende ukachanjwe sindano yanini kuwapigia kelele wenzako. Wewe kimbia kachanjwe haraka.
Tuwekee hapa mfano wa mtaalam utuamishe kuwa wataalam mpo nchi hii, kama prof. anaweza kujitambulisha kuwa ameokotwa jalalani!!!
hivi aliyesoma zaidi ya profesa anaitwa nani vile?
Wakati mwingine mtengeneze magroup ya kuwa mnakanyana af ndo mje kutwambia tuheshimu taaluma.
Magu alilianzisha la kukagua vyeti mbona wapo waadhiri wa vyuo walioondoka kwa miguu bila hata kusubiri barua za kufukuzwa?[emoji23][emoji23][emoji23]
kwa ufupi msituchanganyeee,tumewachoka.
Nchi inapiga kwata pale pale sababu ya eti wataalamu.
Kila siku mnaibuka na misemo(MKUKUTA,MKURABITA,MCHAKATO,UPEMBUZI YAKINIFU...).[emoji23][emoji23][emoji23]🙄) Hivi hamuoni aibu kujiita wenye taaluma?
Alipokuja magu akaondoa misemo angalia yaliyofanyika nchini
Ile massive usage of Tv mpaka kwa watu wa kawaida imetokea mwishon mwa 90s na mwanzon mwa 00s
Basi achana na wenzako kila mtu na imani yake. Hilo ni jambo la hiari.Mm sipo katika makundi yaliyopewa kipaumbele ila nikipata chance nachanja tu sina shida mm
Unajuaje kama na mimi ni mmojawapo wa hao uliowataja?I believe huend hospital kuona jinsi unavyotibiwa na watu wenye taaluma zao
Au huend kwa mafundi vyombo vya moto kutendenezewa chombo chako kwa taaluma zao