Watanzania na madereva wa Magari wameigeuza barabara ya njia nane (Morogoro Road) kwa makusudi na kujitakia! Tujiandae na maafa pale stendi ya Mbezi

Watanzania na madereva wa Magari wameigeuza barabara ya njia nane (Morogoro Road) kwa makusudi na kujitakia! Tujiandae na maafa pale stendi ya Mbezi

Leak

JF-Expert Member
Joined
Feb 22, 2012
Posts
52,916
Reaction score
43,505
Habari!

Pamoja na kazi nzuri iliyofanywa na serikali kujenga barabara ya njia nane Kimara-Kibaha lakini ukweli ni kwamba watumiaji wa barabara hii wananchi na madereva wameamua kuigeuza barabara hii kama machinjio!

Barabara hii kwa sasa hawezi pitisha wiki au siku tatu haijamwaga damu za watu na mara zote ajali asilimia 98.9 kwenye hii barabara husababishwa ni either na wananchi wa kawaida au madereva wa vyombo vya moto!

Madereva wa barabara hii hawazingatii alama zozote za usalama barabarani!

Madereva wa barabara hii hawajali wanaovuka hata kwenye Zebra wanapita bila kujali.

Watu wengi wanagongwa wakiwa nawavuka barabara kwa kutumia Zebra!

Madereva wa barabara hii wanaendesha gari kwa speed kubwa sana bila kujali watumiaji wengi!

Waenda kwa Miguu!

Ukweli ni kwamba waenda kwa miguu wanaotumia hii barabara hawazingatii kabisa sehemu za kuvuka hasa pale mbezi ambapo pamewekwa daraja la kuvukia, pale wengi wanavuka barabarani ambapo hawapaswi!

Watumiaji wengi hawazingatii kabisa alama za usalama barabarani na hawasikii hata wakiambiwa Watanzania wamekuwa wavivu hata kupanda ngazi kwa hiyo wako radhi kujiweka maisha yao rehani lakini wasivukie kupitia darajani!

Kwa hiyo hizi ajali zimekuwa zikisababishwa hasa na watumiaji wa barabara hizi, hasa wananchi na madereva!

Ukweli usemwe kuwa uhitaji kuwa mjuzi au mtabiri kujua kuwa kama Tanroads au Trafic hawatochukua hatua kwa wanao vuka pale mbezi stand kwa kutumia barabara badala ya daraja lazima tujiandae kwa machozi kwani sitokuja kushangaa hata watu ishirini kupoteza maisha kwa wakati mmoja!
 
Daah kwa kweli hiyo barabara hapana asee. Dar kuna vurugu kila sehemu lakini hakuna barabaraba ngumu kuendeshea kama Morogoro Road yaani kuendesha kule inahitaji nguvu na akili za ziada kwa sababu tu ya watumiaji wengine wasiojielewa.

Watu wengi hawajielewi kwenye hii barabara
 
Pale lazima patachinja mtu pana historia ya damu za watu wasipoweka tuta kile kipande sijui,maana malori yanajitungua uko
 
Mbezi wamejengewa daraja, kwanini hawatumii?

Waache waende na maji.

Huko kwingine waweke hata madaraja ya chuma au mbao. Watu wavuke juu.
 
Daah kwa kweli hiyo barabara hapana asee. Dar kuna vurugu kila sehemu lakini hakuna barabaraba ngumu kuendeshea kama Morogoro Road yaani kuendesha kule inahitaji nguvu na akili za ziada kwa sababu tu ya watumiaji wengine wasiojielewa.
Ni kweli
 
Habari!

Pamoja na kazi nzuri iliyofanywa na serikali kujenga barabara ya njia nane kimara-kibaha lakini ukweli ni kwamba watumiaji wa barabara hii wananchi na madereva wameamua kuigeuza barabara hii kama machinjio!

Barabara hii kwa sasa hawezi pitisha wiki au siku tatu haijamwaga damu za watu na mara zote ajali asilimia 98.9 kwenye hii barabara husababishwa ni either na wananchi wa kawaida au madereva wa vyombo vya moto!

Madereva wa barabara hii hawazingatii alama zozote za usalama barabarani!

Madereva wa barabara hii hawajali wanaovuka hata kwenye Zebra wanapita bila kujali.

Watu wengi wanagongwa wakiwa nawavuka barabara kwa kutumia Zebra!

Madereva wa barabara hii wanaendesha gari kwa speed kubwa sana bila kujali watumiaji wengi!

Waenda kwa Miguu!

Ukweli ni kwamba waenda kwa miguu wanaotumia hii barabara hawazingatii kabisa sehemu za kuvuka hasa pale mbezi ambapo pamewekwa daraja la kuvukia ,pale wengi wanavuka barabarani ambapo hawapaswi!

Watumiaji wengi hawazingatii kabisa alama za usalama barabarani na hawasikii hata wakiambiwa...watanzania wamekuwa wavivu hata kupanda ngazi kwa hiyo wako radhi kujiweka maisha yao rehani lakini wasivukie kupitia darajani!

Kwa hiyo hizi ajali zimekuwa zikisababishwa hasa na watumiaji wa barabara hizi ...hasa wananchi na madereva!

Ukweli usemwe kuwa uhitaji kuwa mjuzi au mtabiri kujua kuwa kama Tan roads au Trafic hawatochukua hatua kwa wanao vuka pale mbezi stand kwa kutumia barabara badala ya daraja lazima tujiandae kwa machozi..kwani sitokuja kushangaa hata watu ishirini kupoteza maisha kwa wakati mmoja!
Leo na pale SUKA KIMARA kumetokea ajali Kimara Suka, Dar: Watu kadhaa wahofiwa kupoteza maisha baada ya Lori kuvamia Kituo cha daladala
 
Kama umepita mchana Ni afadhali Mara 100 Ila Si usiku, Usiku pale Ni hatari na nusu watu wanakimbiza magari Kama wako runway wanataka kupaa...
 
Habari!

Pamoja na kazi nzuri iliyofanywa na serikali kujenga barabara ya njia nane Kimara-Kibaha lakini ukweli ni kwamba watumiaji wa barabara hii wananchi na madereva wameamua kuigeuza barabara hii kama machinjio!

Barabara hii kwa sasa hawezi pitisha wiki au siku tatu haijamwaga damu za watu na mara zote ajali asilimia 98.9 kwenye hii barabara husababishwa ni either na wananchi wa kawaida au madereva wa vyombo vya moto!

Madereva wa barabara hii hawazingatii alama zozote za usalama barabarani!

Madereva wa barabara hii hawajali wanaovuka hata kwenye Zebra wanapita bila kujali.

Watu wengi wanagongwa wakiwa nawavuka barabara kwa kutumia Zebra!

Madereva wa barabara hii wanaendesha gari kwa speed kubwa sana bila kujali watumiaji wengi!

Waenda kwa Miguu!

Ukweli ni kwamba waenda kwa miguu wanaotumia hii barabara hawazingatii kabisa sehemu za kuvuka hasa pale mbezi ambapo pamewekwa daraja la kuvukia, pale wengi wanavuka barabarani ambapo hawapaswi!

Watumiaji wengi hawazingatii kabisa alama za usalama barabarani na hawasikii hata wakiambiwa Watanzania wamekuwa wavivu hata kupanda ngazi kwa hiyo wako radhi kujiweka maisha yao rehani lakini wasivukie kupitia darajani!

Kwa hiyo hizi ajali zimekuwa zikisababishwa hasa na watumiaji wa barabara hizi, hasa wananchi na madereva!

Ukweli usemwe kuwa uhitaji kuwa mjuzi au mtabiri kujua kuwa kama Tanroads au Trafic hawatochukua hatua kwa wanao vuka pale mbezi stand kwa kutumia barabara badala ya daraja lazima tujiandae kwa machozi kwani sitokuja kushangaa hata watu ishirini kupoteza maisha kwa wakati mmoja!
Barabara zimejengwa kwa watumiaji wa vyombo vya moto na waenda kwa miguu pamoja na vyombo visivyotumia moto. Ni wajibu wa kila mtumia njia kuwa makini na kufata taratibu za usalama barabarani. Unaweza sema waendesha magari ndiyo shida lakini pia wavuka kwa miguu hata kama ni zebra je wanafata uvukaji wa usalama? Unaona gari inakuja kisa ni zebra kwa nini uvuke? Pili njia hiyo kwa waendesha magari imekuwa kero sana maana unasimama kupisha watu mwingine anaongea na simu ukitaka pita ndiyo anaamua naye kuvuka .Tena wengine wanavuka hata kusema wavuke haraka kidogo ili na wenye magari waendelee unakuta mtu kama vile kashika mayai yasianguke. Wengine wanapenda vuka eneo ambalo halijawekwa rasmi kama kivuko kumbuka hii ni barabara kubwa..Na kusema kuweka matuta tutaondoa dhana nzima ya kuwa na barabara maana tutarudi kule kule kwenye foleni. Labda ziwekwe taa angalau hapo kidogo sawa.
 
Barabara zimejengwa kwa watumiaji wa vyombo vya moto na waenda kwa miguu pamoja na vyombo visivyotumia moto. Ni wajibu wa kila mtumia njia kuwa makini na kufata taratibu za usalama barabarani. Unaweza sema waendesha magari ndiyo shida lakini pia wavuka kwa miguu hata kama ni zebra je wanafata uvukaji wa usalama? Unaona gari inakuja kisa ni zebra kwa nini uvuke? Pili njia hiyo kwa waendesha magari imekuwa kero sana maana unasimama kupisha watu mwingine anaongea na simu ukitaka pita ndiyo anaamua naye kuvuka .Tena wengine wanavuka hata kusema wavuke haraka kidogo ili na wenye magari waendelee unakuta mtu kama vile kashika mayai yasianguke. Wengine wanapenda vuka eneo ambalo halijawekwa rasmi kama kivuko kumbuka hii ni barabara kubwa..Na kusema kuweka matuta tutaondoa dhana nzima ya kuwa na barabara maana tutarudi kule kule kwenye foleni. Labda ziwekwe taa angalau hapo kidogo sawa.

Tatizo watu hawazingatii hizo alama za usalama barabarani!
 
Matuta yawekwe ya kutosha maeneo yote hatarishi, na yapigwe mistari vizuri ili madereva wayaone tokea wakiwa mbali
 
Matuta yawekwe ya kutosha maeneo yote hatarishi, na yapigwe mistari vizuri ili madereva wayaone tokea wakiwa mbali
Du kila njia au kila mita moja matuta basi itakuwa hakuna kuendesha gari kwa raha tena.Itafika mahali mwisho tutaona hata gari zitembee spidi 3 tukiendekeza sana. Ni kweli kupoteza ndugu inauma na siyo kama naunga mkono watu waendelee kupoteza maisha, ila tuangalie na upande wa pili. Unatoka Dar mpaka Mwanza kwa namna hii matuta kila mita moja tutafika leo?
 
Kuna wanafunzi waligongwa na bodaboda kwenye Zebra..magari yamesimama wanafunzi wapite boda kaja spidi hadi kwa watoto..


Kiukweli walimu walikuwa jirani ilibidi waanze kumchapa huyo bodaboda kwa mtindo wa shika vidole.😂😂
 
wakati wa Ujenzi wa Barabara ya Morogoro, hawakutoa kafara ya damu, ile ni ardhi mizimu kabla binadamu hawajaifikia, palipaswa kuchinjwa Mbuzi, Kondoo ama Ng'ombe
 
Back
Top Bottom