Watanzania na Tafsiri ya Tumecheza Vizuri: Tambua kuna Successful na Unsuccessful Possession

Watanzania na Tafsiri ya Tumecheza Vizuri: Tambua kuna Successful na Unsuccessful Possession

Best Daddy

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2019
Posts
950
Reaction score
1,672
Imekuwa ni rahisi sana kwa mashabiki wa Timu za Kariakoo, kuamini au kuaminishwa timu yake imecheza vizuri kwa kigezo cha ball possession pekee, haijarishi imepata matokeo gani.

Naomba nikusogezee hii fact, kuna successful ball possession and unsuccessful ball possession.

Tuanze kuzichambua hizi, then nita-link na yale yanayozungumzwa mtaani hususani mechi ya Jana na leo. Hizi mechi zimebeba tafsiri ya hizi aina mbili za possession.

Kwa ufupi kabisa, Successful and unsuccessful possession inapimwa na vitu vifuatavyo: Dhamira na zone or phase ya mpira unapochezwa sana.

Sasa kama timu itatumia muda mwingi kumiliki mpira katika zone yake(Defensive Zone/phase) na endapo wakisogea offensive phase wanapoteza mpira, basi usijipige kifua hata possession ikiwa 90%-10%. Umeenda kupoteza muda. Umeenda kumpa likizo mpinzani.

Ila kama utamiliki mpira muda mwingi katika offensive phase, ni mara chache mpinzani anachukua mpira, na bado dhamira yako ni kulifika goli la mpinzani, basi hiyo ndiyo Successful Possession. Na hii ndiyo ile ya kina Barcelona bora, Man City, Arsenal e.tc.

Sasa, je timu yako ina sifa za Successful Possession? au ndiyo timu inayotoa likizo kwa wachezaji pindi inapo miliki mpira? au ndiyo inayofanywa kubwa jinga?

Mechi ya As Vita vs Simba(5-0), Kaizer Chiefs vs Simba(4-0) ni mfano wa un-successful possession hata kama matokeo yangekua tofauti ya hapo.

Mechi karibu zote za Simba kwa Mkapa ni Successful possession. Big Up Lads. Just Wow. Mara nyingi anamiliki mchezo, anamiliki matokeo pia.

Young Africans SC asili yake ni ku-defence. Mechi nyingi za ligi za yanga ni Unsuccessful possession. Ndiyo maana mechi nyingi wanazikamata ila kupata matokeo ni ngumu, hata ushindi wao mara nyingi ni chini ya goli tatu haijalishi mechi wameikamata namna gani. Tuishie hapo kuhusu NBC. Ila msimu ujao nahisi watabadilika. Ngoja tuone wachezaji watakao sajiliwa dirisha kubwa au mbinu za kocha ajae.

Mechi ya Yanga vs Al hilal, Vs Club Africain, Mechi ya Leo ni mfano wa unsuccessful possession.

Tuzungumze mechi ya leo: US Monastir ni kama wamecheza dakika 20 za mwanzo tu. Baada ya hapo wakampa Yanga mpira. Yanga akawa anacheza defensive zone na katikati kidogo. Baada ya hapo wanampa mpinzani mpira.
Ila tunakuja kuambiwa Yanga amecheza mpira vizuri, ukiuliza why, wanakuambia angalia possession. Unajisifu possession ya kupewa, hakuna anayekukaba kwenye zone yako. Tubadilike.
Na hii ndio tabia kubwa ya tabia za kiarabu, wao kucheza kwa kutaka sifa wamepita. Haram is the Way. Pata matokeo, angalia mechi inayofuata. Ni wabaya sana hawa jamaa. Wao watachukua Point tatu muhimu, wewe utarudi kujifariji umecheza vizuri. Na ukiendelea kujifanya unataka sana, unachapika bao za kutosha. Haram ball ni hatari sana.

Simba tayari wamejifunza, bila kuangalia matokeo wanayopata ila wanacheza kikubwa sana.(Kimataifa) Tujifunze kwao. Kinachokosekana kwa sasa Msimbazi ni quality tu ya wachezaji na sio mbinu za mchezo.​
 
Ile possession ya jana ya Simba ni aina gani ya possession ndugu mchambuzi?
Successful Possession. Tuliona manula akipata mpira mara nyingi anatupa mpira kwenye offensive zone. Huko wapambane. I think Uliona simba alivyokuwa hatari jana. Basi kukosa umakini kwa baadhi ya wachezaji imewanyima magoli.

lla kwetu Yanga, kuna shot au kokosa yeyote iliyofanyika na kusema kweli endapo bahati ingekuwa upande wetu basi, tungepata matokeo mechi ya leo?
 
Successful Possession. Tuliona manula akipata mpira mara nyingi anatupa mpira kwenye offensive zone. Huko wapambane. I think Uliona simba alivyokuwa hatari jana. Basi kukosa umakini kwa baadhi ya wachezaji imewanyima magoli...
Kwahiyo ndugu mchambuzi kwenye mechi ya leo hukuona Mayele amekosa umakini kwa kukosa clear chances mbili shuti moja alipiga kipa kacheza kwa miguu na nyingine kawekewa pande na Musonda lakini Mayele kapiga shuti la ovyo yeye na goli tu. Aziz K kapiga foul kipa kaitema imekosa muunganishaji.

Pia kuna shuti kapiga kwa kudundisha kips kadaks. Au ndugu mcha mbuzii ulikuwa unaangalia mpira huku unapika?
 
Kwahiyo ndugu mchambuzi kwenye mechi ya leo hukuona Mayele amekosa umakini kwa kukosa clear chances mbili shuti moja alipiga kipa kacheza kw miguu na nyingine kawekewa pande na Musonda lakini Mayele kapiga shuti la ovyo yeye na goli tu. Aziz K kapiga foul kipa kaitema imekosa muunganishaji. Pia kuna shuti kapiga kwa kudundisha kips kadaks. Au ndugu mcha mbuzii ulikuwa unaangalia mpira huku unapika?
Naheshimu sana point yako mkuu. Mayele amekosa Clear Chance mbili? Hivi zile ni clear chance, Mkuu?

Kama zile ni clear chance, basi hii inathibitisha utengenezaji wa chance kwa timu ya Yanga ni Changamoto sana, Na hii ndiyo product ya unsuccessful possession.

Je, kwa hicho ulichokisema kinaweza badilisha from unsuccessful to Successful possession?
 
Naheshimu sana point yako mkuu. Mayele amekosa Clear Chance mbili? Hivi zile ni clear chance, Mkuu?

Kama zile ni clear chance, basi hii inathibitisha utengenezaji wa chance kwa timu ya Yanga ni Changamoto sana, Na hii ndiyo product ya unsuccessful possession.

Je, kwa hicho ulichokisema kinaweza badilisha from unsuccessful to Successful possession?
Kwahiyo sio clear chances bali ni chances ya aina gani? Mayele alikuwa one vs one na goli kipa akapiga aka save kwa miguu. Ile nyingine aliyosetiwa na Musonda nayo ni clear chances alikuwa ndani ya sita. Kama successful possession inakuwa determined na nafasi zilizotengenezwa basi hio pia successful.
 
Ndugu mtaalam wa aina za possessions endelea kutupa somo la un successful na successful possessions.
 
Tumecheza vizuri sana. 😂

Full Time: The So called amecheza vibaya ameondoka na point tatu na magoli matatu.
 
  • Nzuri
Reactions: K11
Imekuwa ni rahisi sana kwa mashabiki wa Timu za Kariakoo, kuamini au kuaminishwa timu yake imecheza vizuri kwa kigezo cha ball possession pekee, haijarishi imepata matokeo gani.

Naomba nikusogezee hii fact, kuna successful ball possession and unsuccessful ball possession.

Tuanze kuzichambua hizi, then nita-link na yale yanayozungumzwa mtaani hususani mechi ya Jana na leo. Hizi mechi zimebeba tafsiri ya hizi aina mbili za possession.

Kwa ufupi kabisa, Successful and unsuccessful possession inapimwa na vitu vifuatavyo: Dhamira na zone or phase ya mpira unapochezwa sana.

Sasa kama timu itatumia muda mwingi kumiliki mpira katika zone yake(Defensive Zone/phase) na endapo wakisogea offensive phase wanapoteza mpira, basi usijipige kifua hata possession ikiwa 90%-10%. Umeenda kupoteza muda. Umeenda kumpa likizo mpinzani.

Ila kama utamiliki mpira muda mwingi katika offensive phase, ni mara chache mpinzani anachukua mpira, na bado dhamira yako ni kulifika goli la mpinzani, basi hiyo ndiyo Successful Possession. Na hii ndiyo ile ya kina Barcelona bora, Man City, Arsenal e.tc.

Sasa, je timu yako ina sifa za Successful Possession? au ndiyo timu inayotoa likizo kwa wachezaji pindi inapo miliki mpira? au ndiyo inayofanywa kubwa jinga?

Mechi ya As Vita vs Simba(5-0), Kaizer Chiefs vs Simba(4-0) ni mfano wa un-successful possession hata kama matokeo yangekua tofauti ya hapo.

Mechi karibu zote za Simba kwa Mkapa ni Successful possession. Big Up Lads. Just Wow. Mara nyingi anamiliki mchezo, anamiliki matokeo pia.

Young Africans SC asili yake ni ku-defence. Mechi nyingi za ligi za yanga ni Unsuccessful possession. Ndiyo maana mechi nyingi wanazikamata ila kupata matokeo ni ngumu, hata ushindi wao mara nyingi ni chini ya goli tatu haijalishi mechi wameikamata namna gani. Tuishie hapo kuhusu NBC. Ila msimu ujao nahisi watabadilika. Ngoja tuone wachezaji watakao sajiliwa dirisha kubwa au mbinu za kocha ajae.

Mechi ya Yanga vs Al hilal, Vs Club Africain, Mechi ya Leo ni mfano wa unsuccessful possession.

Tuzungumze mechi ya leo: US Monastir ni kama wamecheza dakika 20 za mwanzo tu. Baada ya hapo wakampa Yanga mpira. Yanga akawa anacheza defensive zone na katikati kidogo. Baada ya hapo wanampa mpinzani mpira.
Ila tunakuja kuambiwa Yanga amecheza mpira vizuri, ukiuliza why, wanakuambia angalia possession. Unajisifu possession ya kupewa, hakuna anayekukaba kwenye zone yako. Tubadilike.
Na hii ndio tabia kubwa ya tabia za kiarabu, wao kucheza kwa kutaka sifa wamepita. Haram is the Way. Pata matokeo, angalia mechi inayofuata. Ni wabaya sana hawa jamaa. Wao watachukua Point tatu muhimu, wewe utarudi kujifariji umecheza vizuri. Na ukiendelea kujifanya unataka sana, unachapika bao za kutosha. Haram ball ni hatari sana.

Simba tayari wamejifunza, bila kuangalia matokeo wanayopata ila wanacheza kikubwa sana.(Kimataifa) Tujifunze kwao. Kinachokosekana kwa sasa Msimbazi ni quality tu ya wachezaji na sio mbinu za mchezo.​
Hili darasa kwa uto ni gumu sana!!
 
Back
Top Bottom