Watanzania ni nini tutarajie baada ya Bunge la katiba?

Watanzania ni nini tutarajie baada ya Bunge la katiba?

twijuke

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2011
Posts
547
Reaction score
252
Kuna taarifa zinazo sadikiwa kuwa ni za uhakika kuwa baadhi ya Maprofesa na majaji wanakesha kuichambua rasimu ya pili ya katiba kifungu hadi kingine, ni raisimu iliyo wasilishwa na na mwenyekiti wake Jaji Wariloba, kwa lengo la kuisaidia CCM kujenga hoja juu ya msimama wao wa serikali mbili, Hapa ni wazi kuwa CCM wanacho kwenda nacho katika bunge la katiba ni katiba mbadala na wamejipanga.

Jumapili iliyopita Mkoani Mbeya mwnyekiti wa chama cha mapinduzi Mh Rais Kikwete aliweka wazi juu ya msimamo wa chama chake kuwa CCM wanaunga mkono hoja serikari mbili, hayo aliyasema kwenye sherehe za kuadhimisha miaka 37 ya chama hicho.
alisema kuwa msimamo wa CCN ni serikali mbili na anaye wapinga aje na hoja mbadala na si ngumi wala ubabe.

"Kinachofanywa na CCM ni kutengeneza mawazo au mapendekezo mbadala yenye mantiki zaidi. CCM haing'ang'anii mwonekano wa sasa wa serrikari mbili". "Ndani ya mwonekano wa sasa kuna imani kwamba yapo mabadiliko yanayoweza kufanywa ambayo si ya moja kwa moja kwenda kwenye serikali tatu kama ilivyopendekeza Tume ya Warioba"

Kwa mantiki hii CCm wamejipanga, Je! vipi kuhusu vyama vyaupizani hususani CHADEMA ambao msimamo wao ni serikari tatu?
 
unachosema bwana twijuke ni kwamba hawa jamaa wamejipanga ikafanyika mzaha tutaletewa katiba yenye kukidhi matakwa ya ccm.
 
Tatizo hakuna. msimamo wa ccm ni kuwa na serikali 2: cdm serikali 3 cuf : shirikisho.
bunge maalumu la katiba ni la vyama vyote vyenye uwakilishi bungeni pamoja na wajumbe 201 kutoka makundi mengine kama wasomi. viongozi wa dini. wakulima wafugaji nk.
Jaji warioba mzee butiku dr salim nk ni ccm lakini mbona wamekuja na maoni ya wengi kuwa wanapendekeza serikali 3?
Mwisho wa yote waamuaji ni watanzania baada ya kusikia mijadala bungeni na sio vinginevyo.
 
baada ya ya bunge la katiba ni serikali mbili kwa sababu maccm yamejipanga kukwamisha katba. Baada ya hapo wananchi kuipigia kura ya hapana na ngoma kuwa draw tunarudi kwenye katiba ya zamani
 
Those who have got some answers are those participants to represent the Tanzanians in bunge la katiba,becoz wenyewe will be having a wide opportunity of representing their views of their fellow Tz as Tanzanians if only they will put aside their political,religional,as well as tribal interest in the new constitution "remember that constitution is the voice of all citizens and not the voice of the one political part or any organization as individual but Tanzania @large
 
Serikali 2 tumeshazichoka, wala hatutaki serikali 3, tunataka serikali 1 tu na zanzibar atawekwa mkuu wa mkoa tu.
 
Back
Top Bottom