Nipo natizama star tv, mtu ananadi dawa inaitwa LIFE, intaibu magonjwa lukuki... wakiwemo watu wa "mwezi mchanga"!
Hii dawa hainatofauti na kina NGETWA, NGOKA, KIKOMBE CHA BABU nk
Watanzania.. amini na kutumia dawa iliyo thibitishwa kitaalam, katu usiache dozi yako kwa uzushi wa kitaa!!!