Watanzania serikali tatu kwa manufaa ya nani?

Watanzania serikali tatu kwa manufaa ya nani?

komesha

Member
Joined
May 15, 2013
Posts
5
Reaction score
3
Nimeipitia rasimu ya katiba, haya maisha yalivyo magumu tukiongeza na rais wa tatu itakuaje, maana kuhudumia marais watatu wenye mawaziri kumi natano manaibu waziri 15 makatibu wakuu ,watu wa usalama Dar es Salaam tutakoma.Sioni kama tunahitaji marais watatu ukingizingatia hali halisi ya uchumi wetu.Hebu tulitizame hili wanajamii......
 
ME nawaza huyo rais wa tanganyika

ikulu yake itakuwa wapi? na huyo raisi wa
shilikisho atakuwa na kazi gani? yani ngoja
tusubiri inanikumbusha habari ya jiji la dsm
mayor wa jiji hakuna anayejua kazi yake.
 
mie kama mtz siungi mkono kabisa rasimu ya katiba mpya kuhusu serikali tatu hii inaonesha ni kiasi gani serikal imeogopa uhain wa walevi wa madaraka wachache waliopo znz ambao wanataka muungano ufe kwa manufaa yao binafsi...hivyo basi Tanganyika tusiogope kutengana wa znz mana dhambi ya ubaguzi hatunayo kabisa...tume imeonesha udhaifu
Watanganyika tusikubali mzigo wa serikali tatu maana ni kuturudisha nyuma tena kimaendeleo..
 
Mi nauliza wote watakuwa wanasafiri kama huyu tuliyenaye sasaivi??

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom