PowerWithin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2014
- 646
- 501
Wakenya Shikamooni!
Tukiacha hizi ligi zetu za jadi, wenzetu hawa wapo mbali sana na sisi walau kwa maeneo matatu muhimu na makubwa sana kwa mustakabali wa Taifa. Kama eneo la elimu, uchumi na siasa. Maeneo hayo yanaleta kitu kinaitwa 'multiplier effect' kwenye Taifa lao. Japo leo tunawapongeza kwa upande wa siasa.
Angalia namna wanavyodili na changamoto za general election yao. Wapo open, wapo humble, wapo pure honest ukiachilia mbalil changamoto za kawaida za ushindani wa kiuchaguzi.
Kuna baadhi wanang'ang'ania suala la kuawawa IT manager wa IEBC. Hili limeleta dosari kwa namna fulani, lkn kupitia forms 34A na 34B naona hili wanalitatua bila matatizo. Ustaarabu huu katika medani ya kisiasa si ya kawaida sana katika Africa hasa Tanzania yetu ambapo Chama pinzani na wana harakati hawaruhusiwi kuwa na Tallying Centres mbali ya kufanya siasa tu za majukwaani.
Nini kilichowafanya hawa jamaa watuzidi? Kwa mtazamo wangu ni mfumo wao wa elimu. Nadhani ukilinganisha mfumo wetu wa elimu na wa kwao wa kwetu umekaa kibabaishaji zaidi yaani mfumo usiokuwa na real vision.
Jambo hili ndilo lililowapelekea kudai tume huru na katiba mpya, wakati huku kwetu wananchi wanaomba kutoka chama tawala wapewe katiba mpya na tume huru. Kenya ni tofauti sana na sisi. Tumewakubali sana.
Leo hawa jamaa soon and very soon watakuwa level moja na South Africa both Kisiasa, Kielimu na Kiuchumi. Sioni kitakachowakwamisha maana hata manyang'au wachache mfumo wao unawathibiti. Sisi tunawatakieni mema.
Wana changamoto moja eneo la usalama. Lakini juhudi wanazozifanya are quiet promising. And we wish them good luck.
Nionavyo, sisi kufikia level ya sasa ya wakenya sijui lini kwa mwendo huu tunaoenda nao sasa.
Again, shikamooni wakenya.
Tukiacha hizi ligi zetu za jadi, wenzetu hawa wapo mbali sana na sisi walau kwa maeneo matatu muhimu na makubwa sana kwa mustakabali wa Taifa. Kama eneo la elimu, uchumi na siasa. Maeneo hayo yanaleta kitu kinaitwa 'multiplier effect' kwenye Taifa lao. Japo leo tunawapongeza kwa upande wa siasa.
Angalia namna wanavyodili na changamoto za general election yao. Wapo open, wapo humble, wapo pure honest ukiachilia mbalil changamoto za kawaida za ushindani wa kiuchaguzi.
Kuna baadhi wanang'ang'ania suala la kuawawa IT manager wa IEBC. Hili limeleta dosari kwa namna fulani, lkn kupitia forms 34A na 34B naona hili wanalitatua bila matatizo. Ustaarabu huu katika medani ya kisiasa si ya kawaida sana katika Africa hasa Tanzania yetu ambapo Chama pinzani na wana harakati hawaruhusiwi kuwa na Tallying Centres mbali ya kufanya siasa tu za majukwaani.
Nini kilichowafanya hawa jamaa watuzidi? Kwa mtazamo wangu ni mfumo wao wa elimu. Nadhani ukilinganisha mfumo wetu wa elimu na wa kwao wa kwetu umekaa kibabaishaji zaidi yaani mfumo usiokuwa na real vision.
Jambo hili ndilo lililowapelekea kudai tume huru na katiba mpya, wakati huku kwetu wananchi wanaomba kutoka chama tawala wapewe katiba mpya na tume huru. Kenya ni tofauti sana na sisi. Tumewakubali sana.
Leo hawa jamaa soon and very soon watakuwa level moja na South Africa both Kisiasa, Kielimu na Kiuchumi. Sioni kitakachowakwamisha maana hata manyang'au wachache mfumo wao unawathibiti. Sisi tunawatakieni mema.
Wana changamoto moja eneo la usalama. Lakini juhudi wanazozifanya are quiet promising. And we wish them good luck.
Nionavyo, sisi kufikia level ya sasa ya wakenya sijui lini kwa mwendo huu tunaoenda nao sasa.
Again, shikamooni wakenya.