Mzalendo80
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 2,509
- 1,340
Ndugu Watanzania Huwa sipatikumuelewa kabisa Huyu Fisadi King Kikwete kung'ang'ania madaraka wakati hawezi kuongoza nchi. Hebu nisaidie kutafakari maana nawaonea huruha watanzania wa hali ya chini jinsi wataosulubika tena kwa 5yrs ya Kifisadi na manyanyaso:thinking: