Kila mahali Watanzania wanasema walimpigia Dk Slaa Kura
Watanzania sio wajinga kiasi hicho.
Watanzania ni wavumilivu ila kwa hali hii ya UBABE wa CCM na NEC Watanzania wako Tayari kwa lolote.
Hata wabunge wetu kama Regia Mtema, Fred Mpendazoe ....... n.k wameporwa ushindi.
Ufisadi wa kutisha, nchi inateketea kwa umasikini.
Rasilimali zinaporwa kwa faida za vigogo na Familia zao.
Akaunti za TANAPA na NGorongoro zimesafishwa, Madini yameporwa. Watanzania tuseme NOOOO
Usalama wa T ni kwa ajili ya Vigogo???