Watanzania suala la Maandamano hatuwezi, tuwaachie Wakenya na wengineo

Watanzania suala la Maandamano hatuwezi, tuwaachie Wakenya na wengineo

MURUSI

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2013
Posts
4,537
Reaction score
8,824
Watanzania Vibe za Maandamano hatuwezi hilo liko wazi na halihitaji mjadala wa aina yoyote na binafisi nawaone huruma Wakina Mbowe na wengineo wanao piga kelele kutetea watu ambao hawawezi jitetea kamwe.

Watanzania tulizaliwa na uoga na tutazikwa nao, linapo kuja swala la uoga hatuna wa kushindana naye hapa Duniani ila linapo kuja swala la ujasiri wa mdomoni sisi ni wa kwanza Duniani.

Maandamano tuawaachie nchi kama Kenya, na nchi zingine za Afrika ila sio sisi, hili hatuwezi na hakuna haja ya kuwa tunalizungumzia kabisa.

Tuwe tunajadili mambo mengine ila sio Maandamano ambayo hatuwezi kamwe.

Uswahili na Maandamano haviendani kabisa, nchi asilimia 90 ni waswahili.
 
Watanzania hupambania mambo yanayohusu maisha yao moja kwa moja kwa 100% siyo haya mambo ya mpaka rocket science kuona athari zake!

Juzi tu kulikuwepo mtiti kati ya raia na polisi huko Kigoma kisa kuzuiwa waganga walioletwa kupiga ramli kubaini wachawi kijijini hapo.

Difenda zimechomwa moto kama Bakhmut au Donetsk vile.
 
Watanzania hupambania mambo yanayohusu maisha yao moja kwa moja kwa 100% siyo haya mambo ya mpaka rocket science kuona athari zake!

Juzi tu kulikuwepo mtiti kati ya raia na polisi huko Kigoma kisa kuzuiwa waganga walioletwa kupiga ramli kubaini wachawi kijijini hapo.

Difenda zimechomwa moto kama Bakhmut au Donetsk vile.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom