Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Watanzania muda tulio nao kwa sasa na matatizo tunayo pambana nayo liwe fundisho.
Mwaka 2020 October tukubali kuwa tulichezewa sana na tukakubali na matokeo yake ndiyo haya sasa.
Bunge lililopatikana ni matokeo ya sisi kukubali kudanganywa kwa maneno mazuri lakini sasa tunaonja shubiri.
Hakuna waziri anayejali wala kusikiliza kilio cha tozo gandamizi za miamala na sasa tozo za majengo kupitia huduma za umeme.
Hatuna mwakilishi pale bungeni tukubali kuwa wote waliopo pale ni wana CCM tu na wapo pale kutetea maamuzi yoyote ya kutoka CCM.
Mwaka 2020 October tukubali kuwa tulichezewa sana na tukakubali na matokeo yake ndiyo haya sasa.
Bunge lililopatikana ni matokeo ya sisi kukubali kudanganywa kwa maneno mazuri lakini sasa tunaonja shubiri.
Hakuna waziri anayejali wala kusikiliza kilio cha tozo gandamizi za miamala na sasa tozo za majengo kupitia huduma za umeme.
Hatuna mwakilishi pale bungeni tukubali kuwa wote waliopo pale ni wana CCM tu na wapo pale kutetea maamuzi yoyote ya kutoka CCM.