Watanzania tuamke, Bunge la chama kimoja limezaa tozo

Watanzania tuamke, Bunge la chama kimoja limezaa tozo

Mmawia

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
122,494
Reaction score
96,074
Watanzania muda tulio nao kwa sasa na matatizo tunayo pambana nayo liwe fundisho.

Mwaka 2020 October tukubali kuwa tulichezewa sana na tukakubali na matokeo yake ndiyo haya sasa.

Bunge lililopatikana ni matokeo ya sisi kukubali kudanganywa kwa maneno mazuri lakini sasa tunaonja shubiri.

Hakuna waziri anayejali wala kusikiliza kilio cha tozo gandamizi za miamala na sasa tozo za majengo kupitia huduma za umeme.

Hatuna mwakilishi pale bungeni tukubali kuwa wote waliopo pale ni wana CCM tu na wapo pale kutetea maamuzi yoyote ya kutoka CCM.

Screenshot_20210821-140105.jpg
 
Watanzania muda tulio nao kwa sasa na matatizo tunayo pambana nayo liwe fundisho.

Mwaka 2020 October tukubali kuwa tulichezewa sana na tukakubali na matokeo yake ndiyo haya sasa.

Bunge lililopatikana ni matokeo ya sisi kukubali kudanganywa kwa maneno mazuri lakini sasa tunaonja shubiri.

Hakuna waziri anayejali wala kusikiliza kilio cha tozo gandamizi za miamala na sasa tozo za majengo kupitia huduma za umeme.

Hatuna mwakilishi pale bungeni tukubali kuwa wote waliopo pale ni wana CCM tu na wapo pale kutetea maamuzi yoyote ya kutoka CCM.

View attachment 1901401
Tuvuteni subra kidogo. Tumpe mama muda. Tozo zitaisha. Ila mashaka yangu wasiokuwa na Umeme wao nyumba zao hazitalipa Kodi ya majengo
 
Watanzania muda tulio nao kwa sasa na matatizo tunayo pambana nayo liwe fundisho.

Mwaka 2020 October tukubali kuwa tulichezewa sana na tukakubali na matokeo yake ndiyo haya sasa.

Bunge lililopatikana ni matokeo ya sisi kukubali kudanganywa kwa maneno mazuri lakini sasa tunaonja shubiri.

Hakuna waziri anayejali wala kusikiliza kilio cha tozo gandamizi za miamala na sasa tozo za majengo kupitia huduma za umeme.

Hatuna mwakilishi pale bungeni tukubali kuwa wote waliopo pale ni wana CCM tu na wapo pale kutetea maamuzi yoyote ya kutoka CCM.

View attachment 1901401
Kabisa inabidi tumpinge huyu Bibi Tozo sasa anaharibu nchi yetu kwa tozo.
 
Mama anaupiga mwingi!

Mamaa anawakomesha mataga sukuma gang na kufuata legacy

Mamaa anafungua nchi

Mama anarudisha hela mtaani ili sisi mibavicha tuwe tunaziokota!

Mamaa anatufuta machozi baada ya kuonewa sana na mwendazake. Sasa tunapumua, tuna uhuru wote!

Bashiru na Polepole wana kiona cha moto.
 
Watanzania muda tulio nao kwa sasa na matatizo tunayo pambana nayo liwe fundisho.

Mwaka 2020 October tukubali kuwa tulichezewa sana na tukakubali na matokeo yake ndiyo haya sasa.

Bunge lililopatikana ni matokeo ya sisi kukubali kudanganywa kwa maneno mazuri lakini sasa tunaonja shubiri.

Hakuna waziri anayejali wala kusikiliza kilio cha tozo gandamizi za miamala na sasa tozo za majengo kupitia huduma za umeme.

Hatuna mwakilishi pale bungeni tukubali kuwa wote waliopo pale ni wana CCM tu na wapo pale kutetea maamuzi yoyote ya kutoka CCM.

View attachment 1901401
Kwa wanaojifunza HISTORIA ya taifa letu ADHIMU watakukumbusha ya kwamba BABA WA TAIFA alileta KODI YA KICHWA ili KUPATA FEDHA YA MAENDELEO KWA NCHI.....

Hivi ni mwenye nyumba gani ANAYEFAIDI UTULIVU WA NCHI YAKE akashindwa kulipa shilingi 12,000 kwa MWAKA huku akijua kuwa NCHI HAIWEZI KUENDA bila YA VYANZO VIPYA VYA MAPATO?!!!!!

#NchiKwanza
#KaziIendelee
 
Hivi ni mpinzani gani mzalendo anayetaka kuona UKAMILIFU WA MIRADI YA KIMKAKATI NA UPANUZI WA HUDUMA ZA AFYA VIJIJINI akaiona TOZO YA MIAMALA YA SIMU kuwa ni MBAYA NA ADUI WA TAIFA?!!!
 
Si wote kuwa tunakichagua, wanaingia na kura zao wakisondikizwa na polisi.
 
Back
Top Bottom