Watanzania tuanze UNOKO

Nazjaz

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2011
Posts
7,730
Reaction score
9,088
Ukiona mtu anapiga desa (anaibia kwenye mtihani) mchongee, maana huyu kauzu atakuja kupata kazi ya maana kuliko wewe wakati darasani alikuwa kilaza tu.
Ukimuona mgeni anaishi mtaani kwetu katoka nchi jirani, msemee maana siku si nyingia atakuwa mbunge, kisha waziri then raisi achukue rasilimali zetu na kuhamishia kwao.
Ukiona fataki linamnyemelea mtoto wa shoga yako lisemee, maana mtoto wa shoga yako akipata ukimwi jua wazi kuwa na kale kaserengeti boy unakotembea nako kana uhusiano na mtoto wa shoga yako.
Hebu endelezeni visa vya unoko tuone mwisho wa siku tutapata kitu gani.
 

Unoko unakusubua,...anyway eperiency yangu inaniambia wale waliopata alama nzuri sana darasani hawana kazi nzuri kuliko vilaza,...na hii ni kwasababu vilaza wengi ni watoto/ndugu wa wenye nchi,.....tafakari mna uchukue hatua...hii ndi tz bana
 
Doing the right thing for a wrong reason makes it wrong.
 
Doing the right thing for a wrong reason makes it wrong.

Mbona katoa sababu zake hapo juu na zote zinaonekana ku make sense tu?

Wrong reason iko wapi?

Au kwa sababu kaita "unoko" ? Angesema "Watanzania tuwe na zero toleraance" bado ungeona ni "wrong reason"?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…