toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,612
- 4,721
Nadhani tuje na mkakati wa kudai kushushwa kwa gharama za mabando maana hali ni mbaya sana.
Tunaibiwa sana na haya makampuni ya simu.
Vifurushi vya data vipo juu sana hali sio nzuri hata kidogo.
Tutaendelea kunyanyasika hivi hadi lini ndani ya nchi yetu wenyewe?
Tuje na mkakati hali ni mbaya
Tunaibiwa sana na haya makampuni ya simu.
Vifurushi vya data vipo juu sana hali sio nzuri hata kidogo.
Tutaendelea kunyanyasika hivi hadi lini ndani ya nchi yetu wenyewe?
Tuje na mkakati hali ni mbaya