Watanzania tubadilike, siku hizi kumwambia mtu kanenepa siyo kumsifia

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Kuna watu ni wagumu kubadilika kuendana na zama. Zamani mtu akiwa na kitambi au mnene ilikuwa ni sifa lakini zama hizi ni suala la aibu. Kumwambia mtu kanenepa au ana kitambi ni matusi.

Nawaomba acheni kuwaambia watu hivyo, hiyo siyo sifa.

Uzi tayari.
 
Mkuu punguza unene,naona ulivyoambiwa hivyo, umepanic
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…