Dragunov Sniper
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 2,795
- 9
Ndugu wana JF yapo mambo mengi yanayotokea nchini kwetu, moja ya jambo ambalo watanzania tunatakiwa kufuatilia habari zake kwa umakini mkubwa ni lile linalohusu katiba Inayopendekezwa. Tunahitaji kufuatilia, kujifunza na kuchukua tahadhari kwa taarifa za kupotosha zinazoweza kutuchanganya!Tujenge utamaduni wa kupata taarifa kutoka vyanzo sahihi!
Nawasilisha,
Nawasilisha,