Watanzania tukalime bangi Zambia na Malawi. Wakenya wameshakwishafika huko na wameanza kulima

mockers

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2013
Posts
12,843
Reaction score
35,442
Watanzania tuchangamkie fursa.

Malawi na Zambia zimeruhusu toka mwaka juzi na mwaka jana, kilimo cha bangi Kwa matumizi ya viwandani.

Bangi hiyo unalima Kwa kupewa kibali maalumu na serikali, unapewa eneo, unatengeneza miundomsingi ya maji, unajenga greenhouse maana ile haitakiwi kupigwa na jua, na maji ya mvua wala vumbi.

Unahudumia vizuri na kuvuna mavuno bora ambayo kila kilo moja ni zaidi hata ya dhahabu. Kuliko kulialia hakikisheni tunachangamkia fursa hiyo haraka sana tusibaki nyuma.
 
Nikilima hapa nikasema ni oder ya wateja nje ya nchi....kuna shida.

Hivi inachukua muda gani hadi kuvuna
 
Mkuu naelekea πŸ‡²πŸ‡Ό octb ntalifanyia kaz
 
Sure
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…