Tumesubiri Mpaka Tumechoka na Bado CCM Wanatudharau na Kututemea Mate Usoni. Hili Tunalisema Kwa Sababu Ushahidi Unaonekana Wazi kwa Wananchi. Kama Wengi Tumesikia Jaji Fake Mteule Warewa Anasema Serikali Italipa Dowans Bila Kukata Rufaa. Soma Maneno ya Huyu Fake Jaji
Awali baada ya uamuzi huo kufikiwa, Tanesco ilionyesha nia kwamba ingechukua hatua za kukata rufaa, lakini Jaji Werema aliliambia Mwananchi jana katika viwanja vya Ikulu jijini Dar es Salaam kuwa hakuna haja ya suala hilo kukatiwa rufaa, hivyo kuyeyusha ndoto hizo za Tanesco.
Hapa Tunaona Watanzania Tunatakiwa Tumlipe Dowans Ambao Kutokana na Document Tutaziona ni Rostam Aziz na Lowasa. Hii ni Dharau Tupu.
Hili Sio Jambo Peke Yake Linawatesa Watanzania, Swala Jingine Kubwa ni Wizi Kwenye Huu Uchaguzi wa Mwaka Huu. CCM Imewadharau Wananchi Tena Kuwaibia Kura Alizoshinda Dr Slaa Aliepata Asilimia 64%. Wameunda Tume Yao ya Uchaguzi na Kutangaza Matokeo Yao Wenyewe. Tangu Lini Mgombea Anatengeneza Tume Yake na Kutaka Haki kwa Mwenzie? Alie Wapa Madaraka ya Ujehuri Hivi ni Nani? Swala Lingine ni Wizi Migodini na na Bank Kuu. CCM na Mafisadi Wao Wamejulikana Pesa Kuibia Ndani na Hakuna Hatua Yeyote Ile Kuchukuliwa, Bilal Akiwa Mfano na Mpaka Leo Wananchi Wamenyimwa Haki ya Kujua Nani Alishiriki. Mkapa Aliondoka na Pesa Nyingi za Watanzania na JK Anakataa Kumpeleka Mkapa na Mkewe Grace Mahakama ya Watanzania. Vitu ni Vingi na Watanzania Tutaungana na Wananchi wa Ivory Coast Kurudisha Nchi Yetu Mikononi Mwetu Kutoka kwa Wakina Mugabe Like or Gbagbo Like-JK. Hii Ndio Solution, Maswala ya Kukaa Kimya na Kuitwa Kisiwa cha Upole Kimekwisha.
"Kukaa Kimya na Kutojiunga na Mapinduzi ni Kuumiza Wananchi Wenzako. Hakuna Binadamu Anaitwa Anaamani na Utilivu Wakati Anakufa na Njaa na Umaskini"
Awali baada ya uamuzi huo kufikiwa, Tanesco ilionyesha nia kwamba ingechukua hatua za kukata rufaa, lakini Jaji Werema aliliambia Mwananchi jana katika viwanja vya Ikulu jijini Dar es Salaam kuwa hakuna haja ya suala hilo kukatiwa rufaa, hivyo kuyeyusha ndoto hizo za Tanesco.
Hapa Tunaona Watanzania Tunatakiwa Tumlipe Dowans Ambao Kutokana na Document Tutaziona ni Rostam Aziz na Lowasa. Hii ni Dharau Tupu.
Hili Sio Jambo Peke Yake Linawatesa Watanzania, Swala Jingine Kubwa ni Wizi Kwenye Huu Uchaguzi wa Mwaka Huu. CCM Imewadharau Wananchi Tena Kuwaibia Kura Alizoshinda Dr Slaa Aliepata Asilimia 64%. Wameunda Tume Yao ya Uchaguzi na Kutangaza Matokeo Yao Wenyewe. Tangu Lini Mgombea Anatengeneza Tume Yake na Kutaka Haki kwa Mwenzie? Alie Wapa Madaraka ya Ujehuri Hivi ni Nani? Swala Lingine ni Wizi Migodini na na Bank Kuu. CCM na Mafisadi Wao Wamejulikana Pesa Kuibia Ndani na Hakuna Hatua Yeyote Ile Kuchukuliwa, Bilal Akiwa Mfano na Mpaka Leo Wananchi Wamenyimwa Haki ya Kujua Nani Alishiriki. Mkapa Aliondoka na Pesa Nyingi za Watanzania na JK Anakataa Kumpeleka Mkapa na Mkewe Grace Mahakama ya Watanzania. Vitu ni Vingi na Watanzania Tutaungana na Wananchi wa Ivory Coast Kurudisha Nchi Yetu Mikononi Mwetu Kutoka kwa Wakina Mugabe Like or Gbagbo Like-JK. Hii Ndio Solution, Maswala ya Kukaa Kimya na Kuitwa Kisiwa cha Upole Kimekwisha.
"Kukaa Kimya na Kutojiunga na Mapinduzi ni Kuumiza Wananchi Wenzako. Hakuna Binadamu Anaitwa Anaamani na Utilivu Wakati Anakufa na Njaa na Umaskini"