Watanzania tulimkosea nini Mzee Mwinyi kutuletea kunguru?

Watanzania tulimkosea nini Mzee Mwinyi kutuletea kunguru?

Paulsylvester

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2021
Posts
1,464
Reaction score
3,379
Inasemekana, mh Rais Mstaafu Mzee wetu wa heshima Ali Hassan Mwinyi, alienda ziara Warabuni, akakutana na hawa ndege aina ya kunguru.

Aliwawapenda Kwa sabb ya uwezo wao wa kusafisha mazingira, ikabidi aje na mbegu hapa bongo!

Sasa hawa ndege wamekuwa kero kiasi cha kuuluza tena kwamba, Tulimkosea nini huyu mzee wetu kwenda kuazima kisicho na manufaa kwetu?

Hawa viumbe wamekuwa wezi, wasababisha njaa, wanakula mazao yangali shamba, hata ukivuna watakuibia

Ni ndege waharibifu na hawafai

Serikali Ione namna ya kuwapunguza na ama kuwasngamiza, wanatishia hali ya mazao, na ikizingatiwa mvua haipo!
 
Inasemekana, mh Rais mstaafu mzee wetu wa heshima Alihasan Mwinyi, alienda ziara Warabuni, akakutana na hawa ndege aina ya kunguru,

Aliwawapenda Kwa sabb ya uwezo wao wa kusafisha mazingira, ikabidi aje na mbegu hapa bongo!

Sasa hawa ndege wamekuwa kero kiasi cha kuuluza tena kwamba, Tulimkosea nini huyu mzee wetu kwenda kuazima kisicho na manufaa kwetu?

Hawa viumbe wamekuwa wezi, wasababisha njaa, wanakula mazao yangali shamba, hata ukivuna watakuibia

Ni ndege waharibifu na hawafai

Serikali Ione namna ya kuwapunguza na ama kuwasngamiza, wanatishia hali ya mazao, na ikizingatiwa mvua haipo!
Hizo ni stori za vijueni, kunguru wa mekaa hapa hata kabla raisi mwinyi haja zaliwa
 
Hizo ni stori za vijueni, kunguru wa mekaa hapa hata kabla raisi mwinyi haja zaliwa
Ni kweli kunguru waliletwa kwetu na waarabu na hao ndege wana akili sana. Waliletwa kwaajili ya usafi maana walitumika huko Oman Sultanate kwaajili hiyo, wamekuwa walivyo kwasababu hakukuwa na mkakati wa kuwa control
 
Inasemekana, mh Rais mstaafu mzee wetu wa heshima Alihasan Mwinyi, alienda ziara Warabuni, akakutana na hawa ndege aina ya kunguru,

Aliwawapenda Kwa sabb ya uwezo wao wa kusafisha mazingira, ikabidi aje na mbegu hapa bongo!

Sasa hawa ndege wamekuwa kero kiasi cha kuuluza tena kwamba, Tulimkosea nini huyu mzee wetu kwenda kuazima kisicho na manufaa kwetu?

Hawa viumbe wamekuwa wezi, wasababisha njaa, wanakula mazao yangali shamba, hata ukivuna watakuibia

Ni ndege waharibifu na hawafai

Serikali Ione namna ya kuwapunguza na ama kuwasngamiza, wanatishia hali ya mazao, na ikizingatiwa mvua haipo!
Sio mazao tu wanakula na vifaranga vya ndege, kuku, Bata..etc..
 
Inasemekana, mh Rais mstaafu mzee wetu wa heshima Alihasan Mwinyi, alienda ziara Warabuni, akakutana na hawa ndege aina ya kunguru,

Aliwawapenda Kwa sabb ya uwezo wao wa kusafisha mazingira, ikabidi aje na mbegu hapa bongo!

Sasa hawa ndege wamekuwa kero kiasi cha kuuluza tena kwamba, Tulimkosea nini huyu mzee wetu kwenda kuazima kisicho na manufaa kwetu?

Hawa viumbe wamekuwa wezi, wasababisha njaa, wanakula mazao yangali shamba, hata ukivuna watakuibia

Ni ndege waharibifu na hawafai

Serikali Ione namna ya kuwapunguza na ama kuwasngamiza, wanatishia hali ya mazao, na ikizingatiwa mvua haipo!
Kwani huoni kama story ya kunguru na ya kwako vinafanana?
 
Back
Top Bottom