Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi mtu anatengeneza pombe kali kama hii yenye alcohol 37.5% Halafu anauza shilingi elfu 2 tu lengo ni kuwaua Watanzania wanyonge au lengo ni nin?na serikali ipo tu inafurahia kukusanya kodi.
View attachment 2054915
Shida zinatumikaje? Kulipa sio tatizoLipeni kodi acheni ujinga.
Hapo tayari unakuwa ushapaka na mkongo kilemba unatoa ukifka chumbani ile mchana umekula zako karanga mbichi na miogo kabla ujainywa unameza kidonge cha panadol au paracetamol hakinaga nenoHii kitu usinywe kama unaenda kuichakata mbususu!!! Utaua!!!!
Mi huwa napiga nusu yake ni buku ....na embassy 1!!!!!!!!!!
Nikienda kuoga!! Then nikaingia mzigon!!!!!! Ni Fire!!!!!
1) chumvin nusu saa:
2)cha kwanza dakka15!!!!
SmartGin!!!!!¡
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Vinywaji hivi ni hatari sana, ukinywa inakausha koo na macho. Hangover yake ni hatari labda unywe supu ya umbwa