Watanzania tumeamua kuuana wenyewe.

Watanzania tumeamua kuuana wenyewe.

tang'ana

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2015
Posts
11,931
Reaction score
15,849
Hivi mtu anatengeneza pombe kali kama hii yenye alcohol 37.5% Halafu anauza shilingi elfu 2 tu lengo ni kuwaua Watanzania wanyonge au lengo ni nin?na serikali ipo tu inafurahia kukusanya kodi.

Screenshot_20211223-201312_WhatsApp.jpg
 
SIRA 31:24-31
24Mchoyo wa chakula atasemwa kijijini kote,
na maoni yao juu ya uchoyo wake ni kweli.
Pombe iliumbwa kumfurahisha mtu
25Usijioneshe kuwa hodari wa kunywa pombe,
maana pombe imewaangamiza wengi.
26Tanuri hupima ugumu wa chuma,
na pombe hupima mioyo katika shindano la wenye kiburi.
27Pombe ni kama uhai kwa mtu ukinywa kwa kiasi.
Maisha yafaa nini bila pombe?
Imeumbwa iwafurahishe watu.
28Kunywa pombe wakati wake na kwa kiasi,
kwaleta shangwe moyoni na furaha rohoni.
29Lakini kunywa pombe kupita kiasi,
kunaleta kuumwa kichwa, uchungu na fedheha.
30Ulevi huongeza hasira ya mpumbavu akajiumiza mwenyewe;
humdhoofisha na kumwongezea majeraha.
31Usimkaripie jirani yako kwenye pombe,
wala usimdharau anapofurahia karamu.
Usimwambie neno la kumwonya,
wala usimsumbue kwa kumtaka alipe deni
 
Sasa kaandika, umeona percent yake ya alcohol na ukainunua na kunywa.

Tukusaidieje?

Furthermore si imepitishwa na TBS??
 
Samahani mkuu, hii kitu inapatikana wapi..😋
 
Hii kitu usinywe kama unaenda kuichakata mbususu!!! Utaua!!!!


Mi huwa napiga nusu yake ni buku ....na embassy 1!!!!!!!!!!

Nikienda kuoga!! Then nikaingia mzigon!!!!!! Ni Fire!!!!!

1) chumvin nusu saa:

2)cha kwanza dakka15!!!!

SmartGin!!!!!¡
 
Hii kitu usinywe kama unaenda kuichakata mbususu!!! Utaua!!!!


Mi huwa napiga nusu yake ni buku ....na embassy 1!!!!!!!!!!

Nikienda kuoga!! Then nikaingia mzigon!!!!!! Ni Fire!!!!!

1) chumvin nusu saa:

2)cha kwanza dakka15!!!!

SmartGin!!!!!¡
Hapo tayari unakuwa ushapaka na mkongo kilemba unatoa ukifka chumbani ile mchana umekula zako karanga mbichi na miogo kabla ujainywa unameza kidonge cha panadol au paracetamol hakinaga neno

Halafu unakunywa hio alcohol

Ukimkaribisha ndani unashushia energy drink yako kukata ukali harufu ya pombe in case utamla mate




Hiyo nusu chupa yake haileweshi ?
 
Back
Top Bottom