Watanzania tumechoka sasa tunataka Vitambulisho vya Taifa vipatikane kwa haraka na uhakika

Watanzania tumechoka sasa tunataka Vitambulisho vya Taifa vipatikane kwa haraka na uhakika

Rayvanny wa jamiiForums

Senior Member
Joined
Apr 7, 2023
Posts
132
Reaction score
351
Ni wazi Watanzania wengi hawana kitambulisho cha taifa yani hili suala la kutoa kitambulisho cha taifa hapa nchini limekuwa kama jambo la hiari kwa mamlaka husika hali inayoweza kuchochea uwepo wa rushwa.

Suala la kupata kitambulisho cha taifa lisiwe biashara wala mizungusho kama vifaa hakuna basi serikali ihakikishe kunakuwa na vifaa vya kutosha, kama kuna uhaba wa wafanyakazi kwenye mamlaka husika basi serikali itoe ajira kuziba hilo pengo ili kuhakikisha Watanzania wote wanapata vitambulisho vya taifa kwani hili siyo suala la hiari ni la lazima kisheria.

Naomba niweke wazi kwamba Watanzania tumechoka tunataka Kitambulisho cha Taifa kipatikane kwa haraka na uhakika na bila masharti.
 
Back
Top Bottom