Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Namaingo
www.jamiiforums.com
Kijani Kibichi
www.jamiiforums.com
Deci
Mr. Kuku
Kalynda eCommerce
DC aagiza Mkurugenzi Namaingo kukamatwa kwa kutapeli wananchi 4000 na kukusanya pesa zaidi ya TZS Bilioni moja
Mkuu wa Wilaya Ilala jijini Dar es salaam Sophia Mjema leo Mei 4 ameagiza kukamatwa Mkurugenzi wa Taasisi ya Namaingo Business Agency, Ubwa Ibrahim baada ya kudaiwa kuwatapeli wananchi zaidi ya 4000 na kukusanya pesa zaidi ya bilioni 1.
Kijani Kibichi
Adam Rashid Ngemange wa Kijani Kibichi usitutapeli please!!!!!!
Adam Rashid Ngemange na kampuni yako ya Kijani Kibichi, kampuni inayojishughulisha na kulimo, uvuvi na ufugaji, tunaomba usitutupeli sisi wenye mashamba Fukayosi Bagamoyo tuliyoyanunua kupitia Kanisa la KKKT . Ulikuja kwetu na mradi mzuri wa kilimo shirikishi, ukaruahidi kwanza tutoe pesa za...
Mr. Kuku
Kalynda eCommerce