Kakumamoto
JF-Expert Member
- May 6, 2015
- 1,237
- 1,696
Watamzani tunapotezwa kirahisi Sana. Tumeletewa Prophet kutoka sijui wapi huko na tumeanza kuaminishana ni mtamzania! Alikua mwanamuziki ila kakutana na Yesu (Yesu ni uongo), kajaza uanja na watu wametolewa mapepo!?!?! Kuna kipi kipya!?! Watanzania ni wajinga sana.
Tumesahau kuhusu Vice President, tumesahau ya Hanang! Kisa Nabii wa uongo!?! Huyo nabii kafanya kipi kipya?
Kaumba binaadamu? Kafufua mfu, kuna kiwete kapona? Mambo ya kipumbafu kabisa yanatutoa wabongo kwenye reli
Tumesahau kuhusu Vice President, tumesahau ya Hanang! Kisa Nabii wa uongo!?! Huyo nabii kafanya kipi kipya?
Kaumba binaadamu? Kafufua mfu, kuna kiwete kapona? Mambo ya kipumbafu kabisa yanatutoa wabongo kwenye reli