Kakumamoto
JF-Expert Member
- May 6, 2015
- 1,237
- 1,696
Mkuu ulisema utumii JF what strong ? Upo hewani😁Ni wivu tu. Nabii Lovy kakuzidi kila kitu
Tafuta helaMkuu ulisema utumii JF what strong ? Upo hewani😁
Hadi mkuyengeNi wivu tu. Nabii Lovy kakuzidi kila kitu
yeah Mpaka Ujinga Nahc Huyo Nabii Yuko Na Ujinga Mwingi Kuliko Mtoa Mada.Manabii Wenu Wanachati Mpaka Na Yesu Wanaona Status Za Malaika Na Watu Wanajaa Kanisani Wanaamini Kabisa Daah!Ila Hii Dini Ya Paulo Shida Ni Nini Elimu Au Iman Ni Kubwa Kiasi Cha Kuamini Kinywa Chochote Kilichokariri Maneno Mawili Matatu Ya BibleNi wivu tu. Nabii Lovy kakuzidi kila kitu
"Dhambi zenu zijapokuwa nyekundu kama damu, atazifanya nyeupe kama theluji.."Anatetea transgenders
View: https://youtu.be/T4sb0mxQjsI?si=ybpIjyAgmAj5A4Ai
View attachment 2837670
yeye anatetea waliobadilisha jinsia anasema nafsi zao ndo zimekombolewa sio miili yao"Dhambi zenu zijapokuwa nyekundu kama damu, atazifanya nyeupe kama sufi.."
Muhimu utubu na kuacha!
mbona unamtetea sana mpaka umeanzisha uzi kumsifia, ngoja nikufuate huko nikakujibuNi wivu tu. Nabii Lovy kakuzidi kila kitu
Hata Mwamposa kanizidi, lakini kuna kipi kipya kakileta?!?Ni wivu tu. Nabii Lovy kakuzidi kila kitu
Hakuna jipya chini ya jua, utapeli ni ule ule tu.Usikaze fuvu bro dunia haipo kama unavyofikiaria kwenye ubongo wako.....