NDESSA JF-Expert Member Joined May 2, 2013 Posts 1,946 Reaction score 1,796 Dec 15, 2016 #1 Tumpigie miss Tanzania aweze kushinda Miss World. Tanzania kuna watumiaji wengi wa mitandao hivyo tuitumie hii fursa kumsapoti mrimbwende wetu 2016 ili awe katika nafasi nzuri. Ingia hapa kujua namna ya kupiga kura
Tumpigie miss Tanzania aweze kushinda Miss World. Tanzania kuna watumiaji wengi wa mitandao hivyo tuitumie hii fursa kumsapoti mrimbwende wetu 2016 ili awe katika nafasi nzuri. Ingia hapa kujua namna ya kupiga kura
Page 94 JF-Expert Member Joined Oct 22, 2015 Posts 5,204 Reaction score 15,207 Dec 15, 2016 #2 Toa na maelekezo jinsi ya kupiga kura Mkuu. Au tunapigia kura humu JF?
Ndetirima JF-Expert Member Joined Oct 4, 2011 Posts 1,008 Reaction score 786 Dec 15, 2016 #3 Yes maelezo ni muhimu tunapiga vipi? Voda, Tigo, Airtel and in website
NDESSA JF-Expert Member Joined May 2, 2013 Posts 1,946 Reaction score 1,796 Dec 15, 2016 Thread starter #4 Naweka Link inagoma ila kwenye page yake IG dianaflave ameelezea.
Iceman 3D JF-Expert Member Joined Sep 3, 2016 Posts 20,611 Reaction score 67,094 Dec 15, 2016 #5 Weka hapo link tumpigie kura Wakisha shinda waje wajaze vichwa vya habari vya shigongo na maskendo yao.
Weka hapo link tumpigie kura Wakisha shinda waje wajaze vichwa vya habari vya shigongo na maskendo yao.
Freeland JF-Expert Member Joined Jan 24, 2012 Posts 14,481 Reaction score 10,227 Dec 15, 2016 #6 ni mdogo wetu huyu weka link
Kanali G JF-Expert Member Joined Oct 21, 2013 Posts 9,898 Reaction score 14,413 Dec 16, 2016 #7 Atashinda kama ana vigezo vya kushinda,sio kwa kura tutakazompigia.
G.Man JF-Expert Member Joined Feb 9, 2014 Posts 1,040 Reaction score 2,157 Dec 17, 2016 #8 Kama tuliweza kumpa Kiba tuzo mbele ya Wizkid, hii haitakuwa kazi kubwa! Team Diana wapi!
data JF-Expert Member Joined Apr 9, 2011 Posts 26,858 Reaction score 23,768 Dec 17, 2016 #9 Miss Worlɗ sio ƊEatv awards..
M mwasu JF-Expert Member Joined Jul 13, 2011 Posts 10,161 Reaction score 11,536 Dec 17, 2016 #10 Tunaweza kupigakwa wingi asipate kumbe hana vigezo na hakuzingatia maharti, tulimpigia mkuu kura nyingi tuzo ikaenda south, sina imani tena na kura,
Tunaweza kupigakwa wingi asipate kumbe hana vigezo na hakuzingatia maharti, tulimpigia mkuu kura nyingi tuzo ikaenda south, sina imani tena na kura,
kimange JF-Expert Member Joined Sep 14, 2016 Posts 1,339 Reaction score 1,298 Dec 17, 2016 #11 Weken linkk tumsupport mtz mwenzetu