Sir robby
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 2,396
- 4,080
Ni wakati sahihi sasa Tuwe na KATIBA MPYA KATIBA ambayo Watu wote Mil.60 tutatoa Maoni na Mapendekezo yetu na hiyo itaitwa KATIBA ya WANANCHI kwani ndio wenye NCHI.
Watanzania tumechoka kuwa na KATIBA ambayo hatukuichangia MAONI wala MAPENDEKEZO KATIBA ambayo iliyotungwa na Watu 20 KATIBA ambayo inanufaisha Watu Wachache hasa Viongozi
KATIBA ambayo ina USULTANI mwingi kwa Viongozi
KATIBA ambayo ni ya CHAMA kimoja wakati Nchi ni ya VYAMA VINGI
KATIBA ambayo haitupi HAKI Wananchi zaidi ya Kuonewa KATIBA ambayo hata Mkichagua VIONGOZI lakini Hawawi Viongozi bali Tunachaguliwa
TUNATAKA KATIBA MPYA KATIBA ya WANANCHI
Watanzania tumechoka kuwa na KATIBA ambayo hatukuichangia MAONI wala MAPENDEKEZO KATIBA ambayo iliyotungwa na Watu 20 KATIBA ambayo inanufaisha Watu Wachache hasa Viongozi
KATIBA ambayo ina USULTANI mwingi kwa Viongozi
KATIBA ambayo ni ya CHAMA kimoja wakati Nchi ni ya VYAMA VINGI
KATIBA ambayo haitupi HAKI Wananchi zaidi ya Kuonewa KATIBA ambayo hata Mkichagua VIONGOZI lakini Hawawi Viongozi bali Tunachaguliwa
TUNATAKA KATIBA MPYA KATIBA ya WANANCHI