Watanzania tunayo nia ya dhati ya kuwa na katiba ya miaka 50 ijayo?

Watanzania tunayo nia ya dhati ya kuwa na katiba ya miaka 50 ijayo?

SAMUNGE TZ

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2013
Posts
254
Reaction score
23
Nilivyo sikia mabadiliko ya katiba nilipata faraja kuwa tutarekebisha pale tulipojikwaa.Hoja ya katiba mpya Tanzania 2010 haikuwa ya watawala bali ya wapinzani,

Tangu kutungwa kwa sheria ya mabadiliko ya katiba ulitokea mvutano wa baadhi ya vyama kutaka kuhodhi mchakato huo mithili ya white paper[kuongozwa na chama fulani wakati katiba ya nchi si ya chama cha siasa tu]

Awamu ya kwanza imemalizika na tume imekuja na mawazo halisi ya watawaliwa,

Sasa tumeingia kwenye awamu ya pili ambayo watawala wameonyesha kuingilia mchakato kwa kuwalisha wajumbe maneno ya kuwasemea watanzania.

Hapa ni kweli tutapata katiba iliyotokana na wananchi ,nzuri na bora ya miaka 50 ijayo badala ya
hii ya viraka?

 
Nilivyo sikia mabadiliko ya katiba nilipata faraja kuwa tutarekebisha pale tulipojikwaa.Hoja ya katiba mpya Tanzania 2010 haikuwa ya watawala bali ya wapinzani,

Tangu kutungwa kwa sheria ya mabadiliko ya katiba ulitokea mvutano wa baadhi ya vyama kutaka kuhodhi mchakato huo mithili ya white paper[kuongozwa na chama fulani wakati katiba ya nchi si ya chama cha siasa tu]

Awamu ya kwanza imemalizika na tume imekuja na mawazo halisi ya watawaliwa,

Sasa tumeingia kwenye awamu ya pili ambayo watawala wameonyesha kuingilia mchakato kwa kuwalisha wajumbe maneno ya kuwasemea watanzania.

Hapa ni kweli tutapata katiba iliyotokana na wananchi ,nzuri na bora ya miaka 50 ijayo badala ya
hii ya viraka?


Sina hakika sana kama unachosema ndicho kitakachotokea. Kuna haja sana tena kubwa tu ya kufatilia huu mchakato kwa karibu sana. Kuna maoni yatakayoingizwa ambayo si ya watanzania. Kumbuka hilo. Unajua kuwa mkuu wa kaya anajua vugu vugu lililopo nchini na jinsi watu walivyochoka. Nachelea kusema kuwa hawezi acha katiba muitakayo nyinyi ipite. Lets say kwa mfano, kipengele cha rais kuondolewa kinga unadhani kitakubalika?
Discuss kwenye magroup yenu halafu lete majibu hapa nisahihishe.
 
Nilivyo sikia mabadiliko ya katiba nilipata faraja kuwa tutarekebisha pale tulipojikwaa.Hoja ya katiba mpya Tanzania 2010 haikuwa ya watawala bali ya wapinzani,

Tangu kutungwa kwa sheria ya mabadiliko ya katiba ulitokea mvutano wa baadhi ya vyama kutaka kuhodhi mchakato huo mithili ya white paper[kuongozwa na chama fulani wakati katiba ya nchi si ya chama cha siasa tu]

Awamu ya kwanza imemalizika na tume imekuja na mawazo halisi ya watawaliwa,

Sasa tumeingia kwenye awamu ya pili ambayo watawala wameonyesha kuingilia mchakato kwa kuwalisha wajumbe maneno ya kuwasemea watanzania.

Hapa ni kweli tutapata katiba iliyotokana na wananchi ,nzuri na bora ya miaka 50 ijayo badala ya
hii ya viraka?

Mwisho wa siku, katiba haitakuwepo ile wananchi wanaitaka ila ile ya watawala, Ni matumaini yangu kuwa baada tuu ya CCM kupoteza power ndio katiba mpya itaandikwa! Sio sasa, kuna unafiki tuu!
 
Back
Top Bottom