Pre GE2025 Watanzania tuombe Rais ajae awe na kaliba ya utunzaji wa rasilimali za taifa

Pre GE2025 Watanzania tuombe Rais ajae awe na kaliba ya utunzaji wa rasilimali za taifa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Lexus SUV

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2016
Posts
4,493
Reaction score
5,591
Tukiendelea kulaumu mikataba ya ki chief Mangungo wa Musovero hatuwezi saidia kitu. Dawa ya yote hata ni Halmashauri Kuu kumtafuta mtu mwenye sifa moja tuuu ya utunzaji wa rasilimali za taifa. Huyu 2025 mwaka uwe wa mwisho.

La msingi ni kuomba tu Halmashauri Kuu ya CCM (maana tunajua ni lazima Rais atokee CCM) ichague mgombea urais mwenye haiba ya utunzaji wa rasilimali za taifa. Kwa manufaa ya sasa na ya baadae. Mgombea urais mwenye hulka hata kusaini mikataba ina sainia kwa manufaa mazuri ambayo hata yeye lazima atuambie live bila chenga.

So hii lalama mtandaoni haitosaidia kitu. Tunaombeni Halmashauri Kuu ya CCM mwakani 2025 kabla ya uchaguzi mkuu msikosee hata nukta.
 
Kwanza kukaa madarakani miaka 5 hadi 10 ni mingi sana.

Inabidi wake madarakani miaka 3 hadi 6 wapishe wengine
Safi sana, Ila tuweke kabisa na job descriptions za Raisi.. kupuyanga na kukinga bakuri ifutwe. Kila mgombea uraisi aje na mikakati yake ya ni Kwa jinsi gani Tanzania itakuwa self sufficient Kwa kila kitu Kwa kutumia Rasimali za ndani? Tuna kila kitu lakini bado tunakinga… haya ni maajabu ya Musa…
 
Safi sana, Ila tuweke kabisa na job descriptions za Raisi.. kupuyanga na kukinga bakuri ifutwe. Kila mgombea uraisi aje na mikakati yake ya ni Kwa jinsi gani Tanzania itakuwa self sufficient Kwa kila kitu Kwa kutumia Rasimali za ndani? Tuna kila kitu lakini bado tunakinga… haya ni maajabu ya Musa…
Nanga mkono hoja
 
Hakuna jambo baya kama kuskia eti refa kabeti...☹️
 
Tukiendelea kulaumu mikataba ya ki chief Mangungo wa Musovero hatuwezi saidia kitu. Dawa ya yote hata ni Halmashauri Kuu kumtafuta mtu mwenye sifa moja tuuu ya utunzaji wa rasilimali za taifa. Huyu 2025 mwaka uwe wa mwisho.

La msingi ni kuomba tu Halmashauri Kuu ya CCM (maana tunajua ni lazima Rais atokee CCM) ichague mgombea urais mwenye haiba ya utunzaji wa rasilimali za taifa. Kwa manufaa ya sasa na ya baadae. Mgombea urais mwenye hulka hata kusaini mikataba ina sainia kwa manufaa mazuri ambayo hata yeye lazima atuambie live bila chenga.

So hii lalama mtandaoni haitosaidia kitu. Tunaombeni Halmashauri Kuu ya CCM mwakani 2025 kabla ya uchaguzi mkuu msikosee hata nukta.
Rais ndiye Mwenyekiti wa Chama chake 🙄
Hiyo halmashauri unayoiomba ifanye jambo haina Uwezo wa kumzuia Mwenyekiti wao asigombee 🙄

Sana sana wanachama wataendelea kumchangia Mwenyekiti pesa za kuchukulia fomu ya kugombea URAIS 😳🤠

Tukutane 2030 .
 
Safi sana, Ila tuweke kabisa na job descriptions za Raisi.. kupuyanga na kukinga bakuri ifutwe. Kila mgombea uraisi aje na mikakati yake ya ni Kwa jinsi gani Tanzania itakuwa self sufficient Kwa kila kitu Kwa kutumia Rasimali za ndani? Tuna kila kitu lakini bado tunakinga… haya ni maajabu ya Musa…
Hoja yako nzuri sana mkuu, usikilizwe.
 
Tukiendelea kulaumu mikataba ya ki chief Mangungo wa Musovero hatuwezi saidia kitu. Dawa ya yote hata ni Halmashauri Kuu kumtafuta mtu mwenye sifa moja tuuu ya utunzaji wa rasilimali za taifa. Huyu 2025 mwaka uwe wa mwisho.

La msingi ni kuomba tu Halmashauri Kuu ya CCM (maana tunajua ni lazima Rais atokee CCM) ichague mgombea urais mwenye haiba ya utunzaji wa rasilimali za taifa. Kwa manufaa ya sasa na ya baadae. Mgombea urais mwenye hulka hata kusaini mikataba ina sainia kwa manufaa mazuri ambayo hata yeye lazima atuambie live bila chenga.

So hii lalama mtandaoni haitosaidia kitu. Tunaombeni Halmashauri Kuu ya CCM mwakani 2025 kabla ya uchaguzi mkuu msikosee hata nukta.
Hayo hayawezi kutoka ndani ya mfumo CCM, sahau!
 
Tuombe kupata Rais mwenye uwezo wa kuongoza watu na aliye na kiu ya kutafuta maendeleo ya kweli ya nchi yetu.Sio hizi project za ujanja ujanja na kulazimisha mambo, ambazo zinatupelekea kuwa vichekesho kila uchao
 
Safi sana, Ila tuweke kabisa na job descriptions za Raisi.. kupuyanga na kukinga bakuri ifutwe. Kila mgombea uraisi aje na mikakati yake ya ni Kwa jinsi gani Tanzania itakuwa self sufficient Kwa kila kitu Kwa kutumia Rasimali za ndani? Tuna kila kitu lakini bado tunakinga… haya ni maajabu ya Musa…
Sijui tumerogwa Na nani? Mirathilimali kibao bado tunakuwa maskini Na kutafuta mikopo.

Hivi tumeshindwa kabisa kusimamia rathilimali tulizopewa Na Mwenyezi Mungu.

Hivi waarabu wamewezaje kusimamia Mafuta Na Gess ikawa patia maendeleo makubwa?

Mimi nadhani ni ukosefu wa viongozi wenye hofu ya Mungu ndio tatizo linazozitafuna nchi za Africa.
 
Sijui tumerogwa Na nani? Mirathilimali kibao bado tunakuwa maskini Na kutafuta mikopo.

Hivi tumeshindwa kabisa kusimamia rathilimali tulizopewa Na Mwenyezi Mungu.

Hivi waarabu wamewezaje kusimamia Mafuta Na Gess ikawa patia maendeleo makubwa?

Mimi nadhani ni ukosefu wa viongozi wenye hofu ya Mungu ndio tatizo linazozitafuna nchi za Africa.
Ni kwamba, watanzania wengi wamenyimwa elimu au na maarifa ya kung'amua mambo, naomba Mungu tu awaamushe na tuanze kuwanyonga wafuja maliasili za nchi yetu kwa mfano wa China bila hiyana. Hatuweiz kila siku kushabikia mikopo ya masharti nafuu, hii ni hatari sana na utumwa kwa nchi yetu. Viongozi wetu wamekosa maarifa lakini bado wamo wamo tu wanang'ang'ania kuendelea kuongoza. Sasa na tuanze kuwachoma moto kama vibaka wengine, labda wataamka huko waliko.
 
UCHUMI: Serikali ya Tanzania imesaini Mkataba wa Mkopo wa Tsh. Bilioni 422.16 kutoka Serikali ya Korea Kusini kwaajili ya Ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Binguni, Zanzibar

Mkataba umesainiwa leo Juni 5 Juni, 2024 na Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-maamry Mwamba kwa niaba ya Serikali ya Tanzania na Mkurugenzi Mtendaji Mwandamizi na Mjumbe wa Bodi wa Benki ya Exim – Korea, Hwang Kiyeon.

Taarifa ya Wizara ya Fedha imesema Ujenzi wa Hospitali hiyo utahusisha majengo ya Mama na Watoto, Kituo cha Mafunzo, Makazi ya Wafanyakazi, Ununuzi na Ufungaji wa Vifaa vya Kisasa vya Matibabu na Mfumo wa Mawasiliano wa Afya

Aidha, Wizara imesema Mkopo huo umetokana na ziara ya Rais Samia Suluhu Hassan inayoendelea nchini Korea Kusini

Soma jamii.app/LoanAgain

#JamiiForums #Governance #Economy #Accountability
 
 
Tuwe na kiasi jamani sio kila safari ni kugawa tu vitu.
 
Kuwa na imani kwamba chama Cha mboga mboga,kitaleta mtu ambaye ataleta mageuzi nayo ni dalili ya upumbavu.
 
Back
Top Bottom