#COVID19 Watanzania tupige kura ya maoni kuhusu chanjo

#COVID19 Watanzania tupige kura ya maoni kuhusu chanjo

Msanii

Platinum Member
Joined
Jul 4, 2007
Posts
25,252
Reaction score
36,513
1.
Kumekuwa na Hiyari ya LAZIMA kupokea chanjo ya UVIKO 19.

2.
Serikali imejitoa kudhamini raia wake katika kuwajibika endapo chanjo itamletea madhara aliyechanjwa

3.
Nguvu kubwa inatumika kuwaswaga wananchi kwenda kuchanjwa.

4.
Hayati JPM alishasema kuwa chajo ya CORONA inaweza kutuletea maradhi zaidi.


Hivyo basi,

Kwa kuwa njia za asili ziliwezesha kutulinda dhidi ya UVIKO 19 na mpaka sasa inawezekana hatuna wagonjwa wengi wanaokufa kutokana na Corona

Kwa kuwa pia hata nchi ambazo wanatengeneza na kusambaza chanjo wamedhihirisha mashaka dhidi ya chanjo hii,

Kwa nini serikali isifanye mchakato wa kura ya maoni kuhusiana na Chanjo?

Inawezekana uamuzi wa Tanzania ukaiponya dunia kwa sababu hadi sasa mataifa mengi yanatamani kujinasua lakini wanakosa njia.

Hiari na ulazima uendane na utashi wa wananchi na siyo maamuzi ya wachache dhidi ya wengi
IMG-20210729-WA0026.jpg
 
Kura ya maoni ya Muungano kwani tiyari,ya Katiba nayo vipi ,ila ya Rona sio lazima maana Hapa kwetu Tanzania yumeshatolewa ilani anaetaka na sie taka ,sasa ni hivi ,kama hujachanja hupandi gari langu ,wewe na hiari yako sina makuu wala siitaji barakowa.
 
1.
Kumekuwa na Hiyari ya LAZIMA kupokea chanjo ya UVIKO 19.

2.
Serikali imejitoa kudhamini raia wake katika kuwajibika endapo chanjo itamletea madhara aliyechanjwa

3.
Nguvu kubwa inatumika kuwaswaga wananchi kwenda kuchanjwa.

4.
Hayati JPM alishasema kuwa chajo ya CORONA inaweza kutuletea maradhi zaidi.


Hivyo basi,

Kwa kuwa njia za asili ziliwezesha kutulinda dhidi ya UVIKO 19 na mpaka sasa inawezekana hatuna wagonjwa wengi wanaokufa kutokana na Corona

Kwa kuwa pia hata nchi ambazo wanatengeneza na kusambaza chanjo wamedhihirisha mashaka dhidi ya chanjo hii,

Kwa nini serikali isifanye mchakato wa kura ya maoni kuhusiana na Chanjo?

Inawezekana uamuzi wa Tanzania ukaiponya dunia kwa sababu hadi sasa mataifa mengi yanatamani kujinasua lakini wanakosa njia.

Hiari na ulazima uendane na utashi wa wananchi na siyo maamuzi ya wachache dhidi ya wengiView attachment 1875958

Unaishauri serikali iliyoko madarakani kwa wizi wa kura, kuitisha kura kuhusu covid?! Unategemea maamuzi yaliyo kinyume na matakwa yao yatatangazwa?
 
Wakifanya hivyo kura za kuitetea chanjo zawezakuwa chini ya 3%. Bora kwakuwa chanjo ni chache mara 60 chini ya idadi ya watu waende tu nahiyali. Zitaisha tu. Taifa lenye watu milion 60 hawakoswi watu milion1 wa kuchanja
 
1.
Kumekuwa na Hiyari ya LAZIMA kupokea chanjo ya UVIKO 19.

2.
Serikali imejitoa kudhamini raia wake katika kuwajibika endapo chanjo itamletea madhara aliyechanjwa

3.
Nguvu kubwa inatumika kuwaswaga wananchi kwenda kuchanjwa.

4.
Hayati JPM alishasema kuwa chajo ya CORONA inaweza kutuletea maradhi zaidi.


Hivyo basi,

Kwa kuwa njia za asili ziliwezesha kutulinda dhidi ya UVIKO 19 na mpaka sasa inawezekana hatuna wagonjwa wengi wanaokufa kutokana na Corona

Kwa kuwa pia hata nchi ambazo wanatengeneza na kusambaza chanjo wamedhihirisha mashaka dhidi ya chanjo hii,

Kwa nini serikali isifanye mchakato wa kura ya maoni kuhusiana na Chanjo?

Inawezekana uamuzi wa Tanzania ukaiponya dunia kwa sababu hadi sasa mataifa mengi yanatamani kujinasua lakini wanakosa njia.

Hiari na ulazima uendane na utashi wa wananchi na siyo maamuzi ya wachache dhidi ya wengiView attachment 1875958

Na kama ni mambo ya kura katafute wanaccm wenzako mpige hizo kura.
 
Back
Top Bottom