Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
WHO mlisema mnatoa ushauri wa kitaalamu kuhusu corona. Sisi Rais wetu mwenye PhD ni mtaalamu zaidi na kwa mapenzi aliyonayo kwetu sisi raia wake amepima baadhi ya vitu kama mbuzi na mapapai, na kugundua kuwa mbuzi na mapapai vyote Viña virusi vya corona.
Kumbe Yale madumu ya maji tiririka na barakoa hazitusaidii kitu . Maambukizi halisi yako kwenye chakula na matunda.
Shukrani nyingi kwa Rais wetu.
Kumbe Yale madumu ya maji tiririka na barakoa hazitusaidii kitu . Maambukizi halisi yako kwenye chakula na matunda.
Shukrani nyingi kwa Rais wetu.