😂kweli aise, mimi nina bachela (kwa sauti ya kisukuma)Usibishane na PhD holder mkuu wewe umesoma mpaka level gani?
Hapana chezea Pombe....kama siyo mashine zilizoborongwa kunao watu waliolishwa chirimiri, ama wakavuta gundi ya viatu😂WHO mlisema mnatoa ushauri wa kitaalamu kuhusu corona. Sisi Rais wetu mwenye PhD ni mtaalamu zaidi na kwa mapenzi aliyonayo kwetu sisi raia wake amepima baadhi ya vitu kama mbuzi na mapapai, na kugundua kuwa mbuzi na mapapai vyote Viña virusi vya corona.
Kumbe Yale madumu ya maji tiririka na barakoa hazitusaidii kitu . Maambukizi halisi yako kwenye chakula na matunda.
Shukrani nyingi kwa Rais wetu.