Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Habari ndugu zangu watanzania,
Kwanza poleni na msiba huu tena unaleta aibu katika jamii ya kitanzania, pia napenda kupongeza hatua mbalimbali zilizoendelea kuchukuliwa ni pamoja na wananchi kuandamana huko kagera , polisi nao kuwashikilia watuhumuwa wawili mpaka sasa kutokana na uchunguzi wa awali .
Narejea kweny mada, kwa nn sisi ni wapenda ushabiki na uzandiki kiasi hichi? Rejea kukamatwa kwa watuhumiwa wawili ambao mmoja wapo ni baba mzazi wa mtoto.
Kwa nn watu wanaongelea yule mwingine ambaye anahusishwa na mambo ya dini? hapo ushabiki ndio unapoanza.
Hivi kweli watu wamsakame yule mtu baki kwa mtoto haijalishi kama ni kiongozi wa dini au laah, halafu wamuache kumsakama baba yake mzazi.
Kama ni kweli wanahusika basi huyo baba yake mtoto ndio mjinga mkubwa zaidi, ebu jaalia mwanao kabisa wa kumzaa kama hauna huruma huyo mtu baki anaweza kumuonea huruma kweli mwanao?
Kwanza poleni na msiba huu tena unaleta aibu katika jamii ya kitanzania, pia napenda kupongeza hatua mbalimbali zilizoendelea kuchukuliwa ni pamoja na wananchi kuandamana huko kagera , polisi nao kuwashikilia watuhumuwa wawili mpaka sasa kutokana na uchunguzi wa awali .
Narejea kweny mada, kwa nn sisi ni wapenda ushabiki na uzandiki kiasi hichi? Rejea kukamatwa kwa watuhumiwa wawili ambao mmoja wapo ni baba mzazi wa mtoto.
Kwa nn watu wanaongelea yule mwingine ambaye anahusishwa na mambo ya dini? hapo ushabiki ndio unapoanza.
Hivi kweli watu wamsakame yule mtu baki kwa mtoto haijalishi kama ni kiongozi wa dini au laah, halafu wamuache kumsakama baba yake mzazi.
Kama ni kweli wanahusika basi huyo baba yake mtoto ndio mjinga mkubwa zaidi, ebu jaalia mwanao kabisa wa kumzaa kama hauna huruma huyo mtu baki anaweza kumuonea huruma kweli mwanao?