Uchaguzi 2020 Watanzania tusiwe wepesi wa kusahau. Hakuna Mbunge wa CCM anaenda Bungeni kuwakilisha Wananchi

HOJA YAKO NAWEZA SEMA NI BORA KABISA KWA SIKU YA LEO HONGERA KWA KUONA MBALI, HAWA JAMAA WA CCM SIO KABISA MUDA WOTE WANAANGALIA MASLAHI YAO TU NA SIO YA WANANCHI WALIOWACHAGUA.
Neno lako la mwisho limeharibu sentence yako
 
ni mwananchi asiyejitambua na mwenye matatizo ya akili ndiye atakawachagua wabunge wa ccm
 
Kuna mikoa natamani tusingekuwa nchi moja. Mikoa kama Dodoma, Ruvuma, Rukwa, Geita na Njombe hii mikoa inakera sana haijawahi chagua mbunge mzalendo hata awamu moja wenyewe ni ccm tu
Tatizo kubwa la huko wapo nyuma kielimu.. ujinga ndo mtaji Mkuu wa ccm
 
Ndugai kadhibitisha ukweli wa hii post
 
Umesahau kusema kuwa wabunge wa upinzani hawaaminiki maana hawachelewi kuunga juhudi.

Ila wabunge wa vyama vyote, chama ndio kitu cha kwanza kabisa halafu nyie wananchi ndio mnafuatia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…