Kisoda2
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 2,475
- 745
Nimemsikia m/kiti wa chama chetu mafisadi akiwa usia wajumbe wa nyumba kumi kupiga kampeni kwa nguvu zote ili CHAMA kishinde uchaguzi wa 31 Oct.
Hivi dhana hii ya chagua CHAMA badala ya mgombea itabadilika lini?
Chama kwa mtizamo wangu hakina mantiki yeyote iwapo mgombea anayekiwakilisha akiwa hafai.
Sasa tunapoambiwa chagu CHAMA hapa naona kuna mushkeli haswaaaa.
Wadau tuliangalie hili ili tuondokane na fikra potufu zinazoletwa na cmc chetu mafisadi,ili tupate viongozi bora na si bora kiongozi.:frusty:
Hivi dhana hii ya chagua CHAMA badala ya mgombea itabadilika lini?
Chama kwa mtizamo wangu hakina mantiki yeyote iwapo mgombea anayekiwakilisha akiwa hafai.
Sasa tunapoambiwa chagu CHAMA hapa naona kuna mushkeli haswaaaa.
Wadau tuliangalie hili ili tuondokane na fikra potufu zinazoletwa na cmc chetu mafisadi,ili tupate viongozi bora na si bora kiongozi.:frusty: