Habari ya weekend na simba day kwenu wote?
Watanzania ifike mahali tubadilike,kuna vitu kwa binadamu kuvishangaa mtu akikuuliza unaonekana ni ushamba na kutojitambua kabisa.
Iko hivi,leo nilidamka mapema kwenda k/koo. Sasa kabla ya kutoka ikabidi ninywe pepsi ili kuweka koo sawa
Nimefika kule katika mizunguko na hali ya hewa leo na haka kamvua nikabanwa na mkojo nikiwa bado na mizunguko yangu nikajisemea ngoja kwanz nimalize mishe zangu ndyo nifute washing rooms zilipo.
Namaliza mizunguko yangu najikuta nipo maeneo ya mtaa wa agrey pale,najaribu kutafuta eneo la kujihifadhi nakosa. Nikaona syo kesi wacha niulize wafanya biasgmhara wa hapa.
Aisee nimeuliza kama watatu hivi lakini cha ajabu wote wanaishia kunishangaa kana kwamba ni kama ushamba au aibu sana kwa kitu nachouliza.
Nimezurula sana baadae nikaona bora nipande gari zinazotoka karume kwenda mnazi mmoja pale kituo cha mwisho nikajisaidie pale kwasabu ndipo napopajua.
Niliamua kupanda gari japo ni kipande kifupi kwasababu kutembea kwa miguu na nilivobanwa nahisi ningetrend mitandaoni zaid ya simba day.
Isivyo bahati tena nafika pale mnazi nakuta wamefunga,yaani wanakarabati. Nikamuuliza jamaa yuko mle ndani ananiambia labda niende kwenye stand ya gongo la mboto.
Ikabidi jamaa yule nimuombe kwa kuuieleza kwa uchungu mno ndyo akaniambia niingie mle ndani ase nikamaliza shida yangu.
WATANZANIA tubadilike!!!! Kuuliza baadhi ya vitu isionekane ni ajabu.
Watanzania ifike mahali tubadilike,kuna vitu kwa binadamu kuvishangaa mtu akikuuliza unaonekana ni ushamba na kutojitambua kabisa.
Iko hivi,leo nilidamka mapema kwenda k/koo. Sasa kabla ya kutoka ikabidi ninywe pepsi ili kuweka koo sawa
Nimefika kule katika mizunguko na hali ya hewa leo na haka kamvua nikabanwa na mkojo nikiwa bado na mizunguko yangu nikajisemea ngoja kwanz nimalize mishe zangu ndyo nifute washing rooms zilipo.
Namaliza mizunguko yangu najikuta nipo maeneo ya mtaa wa agrey pale,najaribu kutafuta eneo la kujihifadhi nakosa. Nikaona syo kesi wacha niulize wafanya biasgmhara wa hapa.
Aisee nimeuliza kama watatu hivi lakini cha ajabu wote wanaishia kunishangaa kana kwamba ni kama ushamba au aibu sana kwa kitu nachouliza.
Nimezurula sana baadae nikaona bora nipande gari zinazotoka karume kwenda mnazi mmoja pale kituo cha mwisho nikajisaidie pale kwasabu ndipo napopajua.
Niliamua kupanda gari japo ni kipande kifupi kwasababu kutembea kwa miguu na nilivobanwa nahisi ningetrend mitandaoni zaid ya simba day.
Isivyo bahati tena nafika pale mnazi nakuta wamefunga,yaani wanakarabati. Nikamuuliza jamaa yuko mle ndani ananiambia labda niende kwenye stand ya gongo la mboto.
Ikabidi jamaa yule nimuombe kwa kuuieleza kwa uchungu mno ndyo akaniambia niingie mle ndani ase nikamaliza shida yangu.
WATANZANIA tubadilike!!!! Kuuliza baadhi ya vitu isionekane ni ajabu.