Isombilege
Member
- Jul 22, 2018
- 92
- 54
Wapendwa salaamu;
Mungu Mwenye enzi na mamlaka zote anatulinda vyema sisi kama Taifa pendwa la Tanzania.Binafsi naipenda Tanzania.
Nijikite kwenye hoja yangu :
Tanzania ni nchi ya amani ambayo ni rahisi kufanya biashara kwa KUZINGATIA sheria zilizopo.
Nashangazwa sana na wafanya biashara kufunga biashara zao mapema sana
Yaani saa nne usiku unakuta maduka yote yamefungwa hadi maduka ya madawa sasa najiuliza hii amani tuliyonayo tunaitumiaje kama kichocheo cha kibiashara?
Mwezi wa 8 nilikuwa na Safari nakwenda
Arusha, mie napenda kusafiri usiku hivyo saa 5:45 nilikuwa Msata.Wenyeji wa pale wafanya biashara walionekana kukerwa na sheria zinazowataka wafunge biashara saa 5 haswa ukizingatia mahali pale ni barabarani.
Huku Dsm ikifika saa sita nihekaheka mapolisi kukamata wafanyabiashara waliokiuka hii sheria.
Kwa vile Tanzania ni Taifa linalokua kiuchumi napendekeza sheria zibadirishwe watu wapewe muda wakufanya biashara
Mungu Mwenye enzi na mamlaka zote anatulinda vyema sisi kama Taifa pendwa la Tanzania.Binafsi naipenda Tanzania.
Nijikite kwenye hoja yangu :
Tanzania ni nchi ya amani ambayo ni rahisi kufanya biashara kwa KUZINGATIA sheria zilizopo.
Nashangazwa sana na wafanya biashara kufunga biashara zao mapema sana
Yaani saa nne usiku unakuta maduka yote yamefungwa hadi maduka ya madawa sasa najiuliza hii amani tuliyonayo tunaitumiaje kama kichocheo cha kibiashara?
Mwezi wa 8 nilikuwa na Safari nakwenda
Arusha, mie napenda kusafiri usiku hivyo saa 5:45 nilikuwa Msata.Wenyeji wa pale wafanya biashara walionekana kukerwa na sheria zinazowataka wafunge biashara saa 5 haswa ukizingatia mahali pale ni barabarani.
Huku Dsm ikifika saa sita nihekaheka mapolisi kukamata wafanyabiashara waliokiuka hii sheria.
Kwa vile Tanzania ni Taifa linalokua kiuchumi napendekeza sheria zibadirishwe watu wapewe muda wakufanya biashara