Watanzania tuungane kumshukuru Baba wa Kwanza wa Taifa yaani mume wa Rais wetu mpendwa

Watanzania tuungane kumshukuru Baba wa Kwanza wa Taifa yaani mume wa Rais wetu mpendwa

sifi leo

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2012
Posts
5,182
Reaction score
8,948
Furaha ya Mama ni furaha na chanzo cha furaha ni baba. Ndoa ni fumbo la Imani, Mama akitoka ndani amefurahi wallah uwezi amini mabaraka yanamiminika nchi nzima.

Tunapofurahia mambo mazuri yanayofanywa na Rais Dr. Samia Suluhu Hassani lazima tutoe kongole kwa Baba wa Taifa, yaan Husband wa President wetu.

Tunapoona furaha ya Mama tujue ndoa iko poa na mama anapendeza, wajua Dr Samia kapendeza? Tazamana kapicha haka na uungane na mimi kugonga like na kumpa ua lake anuse akiwa hai.

Screenshot_20230524-071757.jpg
 
Furaha ya Mama ni Furaha ya Dingi na chanzo Cha furaha ni Dingi.
Ndoa ni fumbo la Imani, Mama akitoka ndani amefurah walah uwezi amini mabaraka yanamiminika nchi nzima.

Tunapofurahia mambo mazuri yanayofanywa na Rais Dr Samia Suluhu Hassani lazima tutoe kongore Kwa Baba wa Taifa,yaan Husband wa presider wetu.
Tunapo ona furaha ya Mama tujue ndoa Iko poa na mama anapendeza,je wajua Dr Samia kapendeza?
Tizamana kapicha haka na uungane na mm kugonga like na kumpa ua lake anuse akiwa hai.

View attachment 2632006
Ndio umemaliza?
 
Back
Top Bottom