Watanzania tuungane kumshukuru Baba wa Kwanza wa Taifa yaani mume wa Rais wetu mpendwa

sifi leo

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2012
Posts
5,182
Reaction score
8,948
Furaha ya Mama ni furaha na chanzo cha furaha ni baba. Ndoa ni fumbo la Imani, Mama akitoka ndani amefurahi wallah uwezi amini mabaraka yanamiminika nchi nzima.

Tunapofurahia mambo mazuri yanayofanywa na Rais Dr. Samia Suluhu Hassani lazima tutoe kongole kwa Baba wa Taifa, yaan Husband wa President wetu.

Tunapoona furaha ya Mama tujue ndoa iko poa na mama anapendeza, wajua Dr Samia kapendeza? Tazamana kapicha haka na uungane na mimi kugonga like na kumpa ua lake anuse akiwa hai.

 
Ndio umemaliza?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…