Chaku msowoya
Si vizuri wala sio sawa kabisa, but you have to understand after mashindano, hayo mamia ya kamera and/or people's focus usually move on to the next issue, event and so forth. So unless wewe ni mmoja ya walio karibu na mashindano au mshiriki, life moves on!!! My advise is jaribu kuwashtaki, na kama haitazaa matunda basi wapeleke magazetini hata haya ya udaku ili wamulikwe!!!