Watanzania tuwe wavumilivu, hili la kupanda bei vifurushi tutavumilia pia

Watanzania tuwe wavumilivu, hili la kupanda bei vifurushi tutavumilia pia

Trust None

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2018
Posts
1,260
Reaction score
4,419
Tulishaambiwa mapema kuwa MB1 itauzwa kati ya Tsh. 2 hadi 9 lakini kwa kuwa wengi wetu tuliikimbia hesabu, hatukuliona hili. Mfano: MB 1 ikiuzwa kwa Tsh. 2 maana yake GB1 yenye MB 1000 itauzwa sh. 2000, MB 1 ikiuzwa kwa Tsh. 3 ni kwamba GB1 itauzwa Tsh. 3000 na kuendelea kulingana na hesabu hiyo.

Watanzania ni wavumilivu sana, tumevumilia kupanda kwa bei za sukari, mafuta pamoja na bidhaa zingine, iweje tushindwe hili la vifurushi?

Watumishi wa umma tumevumilia kutopanda madaraja, kutopata increment, kutopanda vyeo na kutobadilishiwa miundo ya utumishi, kutopata uhamisho hata wa kubadilishana, iweje tushindwe hili la vifurushi?

Wahitimu wa vyuo tumevumilia kukaa mtaani kwa miaka mingi bila ajira, iweje tushindwe hili la vifurushi?

Wakulima tumevumilia kukosa bei nzuri za mazao yetu, tumedhulumiwa, korosho ni kilio, siyo pamba, mbaazi wala kahawa yenye unafuu, iweje tushindwe hili la vifurushi?

Tumevumilia kikokotoo, kupanda riba ya HESLB (8%_15%), wastaafu kukaa miaka bila kupata mafao, iweje tushindwe hili la vifurushi?

Wafanyabiashara tumevumilia kodi kubwa za bidhaa tunazolangua, iweje tushindwe hili la vifurushi?

Hii ndo Tanzania ya wanyonge, 'wanyonge' laweza kuwa na maana mbili:
1. Kitenzi
2. Nomino
 
Hii nchi ndo unaweza kuongoza akili ikiwa ime-relax kabisa, unaweza ku-drive policies vyovyote unavyojisikia ili mradi umekamata rungu. Watanzania wanyonge ni wavumilivu kweri kweri...
 
Hii nchi ndo unaweza kuongoza akili ikiwa ime-relax kabisa, unaweza ku-drive policies vyovyote unavyojisikia ili mradi umekamata rungu. Watanzania wanyonge ni wavumilivu kweri kweri...
Kwani nasema uongo ndugu zangu?
 
Tulishaambiwa mapema kuwa MB1 itauzwa kati ya Tsh. 2 hadi 9 lakini kwa kuwa wengi wetu tuliikimbia hesabu, hatukuliona hili. Mfano: MB 1 ikiuzwa kwa Tsh. 2 maana yake GB1 yenye MB 1000 itauzwa sh. 2000, MB 1 ikiuzwa kwa Tsh. 3 ni kwamba GB1 itauzwa Tsh. 3000 na kuendelea kulingana na hesabu hiyo.

Watanzania ni wavumilivu sana, tumevumilia kupanda kwa bei za sukari, mafuta pamoja na bidhaa zingine, iweje tushindwe hili la vifurushi?

Watumishi wa umma tumevumilia kutopanda madaraja, kutopata increment, kutopanda vyeo na kutobadilishiwa miundo ya utumishi, kutopata uhamisho hata wa kubadilishana, iweje tushindwe hili la vifurushi?

Wahitimu wa vyuo tumevumilia kukaa mtaani kwa miaka mingi, iweje tushindwe hili la vifurushi?

Wakulima tumevumilia kukosa bei nzuri za mazao yetu, tumedhulumiwa, korosho ni kilio, siyo pamba, mbaazi wala kahawa yenye unafuu, iweje tushindwe hili la vifurushi?

Tumevumilia kikokotoo, kupanda riba ya HESLB (8%_15%), wastaafu kukaa miaka bila kupata mafao, iweje tushindwe hili la vifurushi?

Wafanyabiashara tumevumilia kodi kubwa za bidhaa tunazolangua, iweje tushindwe hili la vifurushi?
Hivi hizi gharama za kipumbavu wanamuwekea nani? Midakika kibao ya nn? Bora hata wangeongeza muda wa kukaa wa vifurush, kwa huo ujinga wajiandae kufilisika
 
Dr. Mihogo na umri wa miaka 70+
FB_IMG_1617359267268.jpg
 
Wataalamu wa kitz ni utapeli mtupu, yaani huu ujinga ndiyo Ndugulile alikuwa akijisifu nao na kelele kila siku na tisiaraei yake
 
Tulishaambiwa mapema kuwa MB1 itauzwa kati ya Tsh. 2 hadi 9 lakini kwa kuwa wengi wetu tuliikimbia hesabu, hatukuliona hili. Mfano: MB 1 ikiuzwa kwa Tsh. 2 maana yake GB1 yenye MB 1000 itauzwa sh. 2000, MB 1 ikiuzwa kwa Tsh. 3 ni kwamba GB1 itauzwa Tsh. 3000 na kuendelea kulingana na hesabu hiyo.

Watanzania ni wavumilivu sana, tumevumilia kupanda kwa bei za sukari, mafuta pamoja na bidhaa zingine, iweje tushindwe hili la vifurushi?

Watumishi wa umma tumevumilia kutopanda madaraja, kutopata increment, kutopanda vyeo na kutobadilishiwa miundo ya utumishi, kutopata uhamisho hata wa kubadilishana, iweje tushindwe hili la vifurushi?

Wahitimu wa vyuo tumevumilia kukaa mtaani kwa miaka mingi, iweje tushindwe hili la vifurushi?

Wakulima tumevumilia kukosa bei nzuri za mazao yetu, tumedhulumiwa, korosho ni kilio, siyo pamba, mbaazi wala kahawa yenye unafuu, iweje tushindwe hili la vifurushi?

Tumevumilia kikokotoo, kupanda riba ya HESLB (8%_15%), wastaafu kukaa miaka bila kupata mafao, iweje tushindwe hili la vifurushi?

Wafanyabiashara tumevumilia kodi kubwa za bidhaa tunazolangua, iweje tushindwe hili la vifurushi?
tutashinwaje kwa mfano, ni mwendo wa kuvumilia
 
Ndio nguvu ya soko huria unatakaje sasa uwapangie bei makampuni? hutaki acha
 
Hivi hizi gharama za kipumbavu wanamuwekea nani? Midakika kibao ya nn? Bora hata wangeongeza muda wa kukaa wa vifurush, kwa huo ujinga wajiandae kufilisika
Asubuuutuu...we unaweza kukaa bila bando? Kufilisika tutafilisika sisi... tungeweza kwa kweli tungegoma kutumia bando japo siku 2 tu ndo wangeelewa umuhimy wetu. Mxiuuuu
 
Dr. Mihogo na umri wa miaka 70+View attachment 1741179
Bwahahahaa....lipeni kodi kwenye vifurushi dr. mihogo azidi kuijenga nchi huko ughaibuni...mnalalamika nini? hizi gharama haziwahusu wanyonge maana tunajua wanyonge hawasiliani kwa simu bali wanatafutana kama mtu anayetafuta ng'ombe....
 
Back
Top Bottom