Kiukweli inasikitisha sana kuwa, moja ya mambo yanayo rudisha nyuma maendeleo ya miradi na maendeleo kwa ujumla ni sheria ya manunuzi ya umma.
Nadhani wengi wetu tumeona waraka kupitia whatsap grup na sociali media nyingine juu ya kurekebisha kanuni za manunuzi ya umma.
Kwakuwa hii ndio fursa kwetu, kwann tusitoe maoni yetu hasa kwa maeneo ambayo hayako sawa, ili kuharakisha upatikanaji wa bidhaa na huduma.
Kupitia uziefu wangu wa ukaguzi na maoni ya watumishi, Tanzania bado tuna mapungufu ya uboreshaji wa sheria pamoja na kanuni zake.
Niwazi kuwa sheria zimekuwa zikitungwa kama kumkomoa anae zisimamia, lakini impact yake inaonekana kwa taasisi kwa ujumla! hii haikubaliki..
Mimi binfsi kwa uzoefu wangu, nashauri haya.
1. Sheria ipunguze nyaraka za manunuzi, paper works (hili ni tatizo) ndio mana watu wa manunuzi siku zote ni watu wanao onekana kukiuka taratibu ambazo kwa wingi wake hazina madhara wala hasara.
2. Sheria bado inamapungufu makubwa katika kutambua professional ya watu wa manunuzi, ndio mana inaipa bodi ya tenda nguvu kuliko watu walio somea manunuzi pasee.
3. Ni wakati sasa wa kupunguza mlolongo, bureucracy katika manunuzi mfano, kutoa bodi ya zabuni, na bodi ya tathmini ili kupunguza mlolongo wa taratibu, na kubaki na body itakayo simamia manunuzi kwa ujumla ikisaidiwa na wataalamu wa manunuzi ( pmu).
4. Sheria za manunuzi ya dawa na vifaa tiba ziwe na sifa za ziada tofauti na manunuzi ya karatasi, computer na vitu vingine, mfano, wanapokosa dawa msd sheria iruhusu kwenda kwa wauzaji bila kufuata taratibu za tenda. kwa watu tuliowahi kukosa dawa hospitali, hii ni sabab kubwa sana , taratibu ni kikwazo cha upatikanaji wa dawa mahospitalini. msd wawe na wauzaji waliyo tayari ili kurahisisha upatikanaji wa dawa
5. Sheria iongeze threshold ya ununuzi wa manunuzi modogo madigo, iliyopo sasa ni 5m, nadhani kwakuwa 5m ya sasa imekuwa haina thaman sana, basi waongeze hadi kufikia 15m. hii itawasaidia sana hasa watu walioko hospitalini.
Naomba na wenye maoni zaidi waje kuchangia juu ya hili. nadhani waiziri mwenye dhamana atachukua yaklyo muhim zaidi.
Tuachane na mambo ya manzoki wala mayele, hawa sio watanzania, na fedha zao hazituhusu! hadi leo ilipaswa kuwa na wimbo wa lunyamila, boko, mrisho ngasa etc.
Lakini, tumekalia kupiga makelele ya siyo na faida kwa nchi yetu kwa ujumla.
Karibuni kwa michango
Nadhani wengi wetu tumeona waraka kupitia whatsap grup na sociali media nyingine juu ya kurekebisha kanuni za manunuzi ya umma.
Kwakuwa hii ndio fursa kwetu, kwann tusitoe maoni yetu hasa kwa maeneo ambayo hayako sawa, ili kuharakisha upatikanaji wa bidhaa na huduma.
Kupitia uziefu wangu wa ukaguzi na maoni ya watumishi, Tanzania bado tuna mapungufu ya uboreshaji wa sheria pamoja na kanuni zake.
Niwazi kuwa sheria zimekuwa zikitungwa kama kumkomoa anae zisimamia, lakini impact yake inaonekana kwa taasisi kwa ujumla! hii haikubaliki..
Mimi binfsi kwa uzoefu wangu, nashauri haya.
1. Sheria ipunguze nyaraka za manunuzi, paper works (hili ni tatizo) ndio mana watu wa manunuzi siku zote ni watu wanao onekana kukiuka taratibu ambazo kwa wingi wake hazina madhara wala hasara.
2. Sheria bado inamapungufu makubwa katika kutambua professional ya watu wa manunuzi, ndio mana inaipa bodi ya tenda nguvu kuliko watu walio somea manunuzi pasee.
3. Ni wakati sasa wa kupunguza mlolongo, bureucracy katika manunuzi mfano, kutoa bodi ya zabuni, na bodi ya tathmini ili kupunguza mlolongo wa taratibu, na kubaki na body itakayo simamia manunuzi kwa ujumla ikisaidiwa na wataalamu wa manunuzi ( pmu).
4. Sheria za manunuzi ya dawa na vifaa tiba ziwe na sifa za ziada tofauti na manunuzi ya karatasi, computer na vitu vingine, mfano, wanapokosa dawa msd sheria iruhusu kwenda kwa wauzaji bila kufuata taratibu za tenda. kwa watu tuliowahi kukosa dawa hospitali, hii ni sabab kubwa sana , taratibu ni kikwazo cha upatikanaji wa dawa mahospitalini. msd wawe na wauzaji waliyo tayari ili kurahisisha upatikanaji wa dawa
5. Sheria iongeze threshold ya ununuzi wa manunuzi modogo madigo, iliyopo sasa ni 5m, nadhani kwakuwa 5m ya sasa imekuwa haina thaman sana, basi waongeze hadi kufikia 15m. hii itawasaidia sana hasa watu walioko hospitalini.
Naomba na wenye maoni zaidi waje kuchangia juu ya hili. nadhani waiziri mwenye dhamana atachukua yaklyo muhim zaidi.
Tuachane na mambo ya manzoki wala mayele, hawa sio watanzania, na fedha zao hazituhusu! hadi leo ilipaswa kuwa na wimbo wa lunyamila, boko, mrisho ngasa etc.
Lakini, tumekalia kupiga makelele ya siyo na faida kwa nchi yetu kwa ujumla.
Karibuni kwa michango