cesallinho
Member
- Jul 11, 2013
- 94
- 41
Mimi naona wabongo hatuna uzalendo kwani tunalalamika serikali haiwajibiki lakini maana ya serikali ni watu,ya watu na kwa watu(abraham lincolin) sasa tumekuwa tukisikia au kuona baadhi ya viongozi wakitokea na kuwa bora na kufanya kazi zao vizuri katika hali ya kinufaisha taifa ila hawa viongozi wakigusa sehemu zenye maslahi ya watu wengine wakubwa huanza kuhujumiwa au hubadilishwa nafasi ile au wizara fulani...sasa tunakosa uzalendo pale kwa kushindwa kushinikiza au kumumuunga mkono huyo kongozi husika hatimaye anajiona yuko pekeyake na kuamua kurudi nyuma na kufanya mambo yake binafsi sasa ili serikali ibadilike sisi ndio tubadilike na tusimame maana tunaoathirika ni sisi na tusikimbilie sana kubadilisha labda chama cha siasa kitatuokoa ni sisi tukiweza kuwaonyesha,kuwahoji na kudai nini tunahitaji kutoka kwao tutaiendesha serikali ya nchi hii..