mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Hii video nimetumiwa, jamaa huko mwanza kajirusha alikuwa kwenye daraja la mabatini.
Chanzo inasemekana mambo ya mapenzi. Tukirudi kwenye hiyo video ukiangalia, wakati yuko juu watu wanampita hawana hata habari naye hakuna hata mtu anafanya maamuzi ya kumzuia.
Ukija huko chini napo mijitu imekaa ikimshangaq tu wamemgeuza sinema utafikiri wanangalia tamthiliya zao zile za kituruki.
Mbongo sasa hivi utu, ubinadam umepotea roho mbaya na ukatili unawaingia tu. Ndo maana tunaonaga matukio mengi ya ajali mtu akipata watu wanachofanya kwanza ni kjku record tu msaada hakuna.
Ova
======
Chanzo inasemekana mambo ya mapenzi. Tukirudi kwenye hiyo video ukiangalia, wakati yuko juu watu wanampita hawana hata habari naye hakuna hata mtu anafanya maamuzi ya kumzuia.
Ukija huko chini napo mijitu imekaa ikimshangaq tu wamemgeuza sinema utafikiri wanangalia tamthiliya zao zile za kituruki.
Mbongo sasa hivi utu, ubinadam umepotea roho mbaya na ukatili unawaingia tu. Ndo maana tunaonaga matukio mengi ya ajali mtu akipata watu wanachofanya kwanza ni kjku record tu msaada hakuna.
Ova
======