MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Rais Magufuli amekutana na kiongozi mwandamizi wa upinzani Zanzibar, Maalim Seif.
Sema wao "handshake" yao wameicheza kwa miguu, labda kwa ajli ya hofu ya Corona. Hongereni majirani, tulianzisha na tumeona matunda ya maridhiano, Afrika yote sasa hivi ni mwendo wa handshake.
Hamna haja ya watu kuishi kwa chuki ilhali wote raia wa taifa moja, kisa milengo ya kisiasa.
Sema wao "handshake" yao wameicheza kwa miguu, labda kwa ajli ya hofu ya Corona. Hongereni majirani, tulianzisha na tumeona matunda ya maridhiano, Afrika yote sasa hivi ni mwendo wa handshake.
Hamna haja ya watu kuishi kwa chuki ilhali wote raia wa taifa moja, kisa milengo ya kisiasa.