Watanzania waishio China, nataka kuagiza gari

Watanzania waishio China, nataka kuagiza gari

Mavindozii

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2012
Posts
2,111
Reaction score
2,781
Hello Waungwana wanaoishi nchini China, Nana mpango wa kuagiza gari Aina ya HOWO tractor Truck used pamoja na flatbed trailer , issue inakuja swala la uaminifu kwenye company ambazo ziko China , nisije kutuma hela ziingie mikono mwa matapeli ya ki Nigeria, kwa raia wa nyumbani aliyeko pale China anaweza kunifanyia utafiti kama hiyo company nayotaka kununua hiyo Howo tractor kama ipo kweli .

Nina website Yao , number ya simu , pamoja na mji ambao karakana Yao ipo , HOWO nayotaka kununua ni Refurbished, Asanteni sana wanandugu waishio nchini China , kwa ushirikiano mtakaonipa nisije kutapeliwa na hao manigeria,
 
Kiongozi mm nashauli bora uende tu china. Kutengeneza bond kati Yako n Wao. Kitu muhimu mnooo
 
Ingia kwenye alibaba.com utakutana na suppliers kibao. Cha msingi asikwambie mchati nje ya alibaba platform kama whatsap. Uzuri wa alibaba anakuwekea insurance na anachaji about 3% ya transaction
 
Back
Top Bottom