Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Watanzania waishio Ughaibuni wanaojifanya kwao mambo super. Tohombe alizaliwa Kiwalani CCM na kwasasa anaishi Washington DC.
Hana msaada kwa mama yake na nyumba yao alikozaliwa mwenyewe anashindwa kwenda kwakuwa ni chakavu hata choo hawezi kukitumia ilhali anahitaji the boss lady wa wa Tanzania wote waishio Marekani.
Hana msaada kwa mama yake na nyumba yao alikozaliwa mwenyewe anashindwa kwenda kwakuwa ni chakavu hata choo hawezi kukitumia ilhali anahitaji the boss lady wa wa Tanzania wote waishio Marekani.