Kenya 2022 Watanzania wajifunze nini Uchaguzi Kenya?

Kenya 2022 Watanzania wajifunze nini Uchaguzi Kenya?

Kenya 2022 General Election

Nguruka

Senior Member
Joined
Dec 6, 2006
Posts
189
Reaction score
129
Agosti 15, 2022 matokeo ya Uchaguzi yametangazwa, Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) ilimtangaza Willium Ruto kua Rais mteule.

Kenya Tume yao wanajiita HURU lakini bado wagombea kama Odinga wanasusia matokeo. Makamishna 4 Kati ya 7 wa IEBC nao wanasusia matokeo. Je, picha Gani wanatupa hapa kuhusu UHURU wa Tume?

Je, Tume ni HURU lakini imekula kitu kidogo ikabadili matokeo au nini zaidi.

Tanzania hasa vyama vya Siasa vina jambo lolote la kujifunza kuhusu hizi Tume 'HURU' za Uchaguzi?
 
Sio Tanzania tu, Afrika yote mna la kujifunza kutoka kwa huu uchaguzi, tumeweka kiwango kipya Afrika ambacho hakikuzoelekea, ni uchaguzi ambao umejadiliwa Afrika yote. Aliyetunukiwa ushindi William Ruto sikumpigia kura lakini binafsi nimeridhishwa na shughuli yote ilivyoendeshwa, vyombo vyote vya habari vina taarifa za matokeo kituo kwa kituo, data zipo kote, yeyote ameruhusiwa akokotoe kama kuna kasoro yoyote iwekwe wazi na taratibu zifuatwe.

MaCCM mtajaribu kila mbinu za kupaka tope ili muendelee na udhalimu wenu huko kwenu, lakini Afrika tubadilike jameni.
 
Sio Tanzania tu, Afrika yote mna la kujifunza kutoka kwa huu uchaguzi, tumeweka kiwango kipya Afrika ambacho hakikuzoelekea, ni uchaguzi ambao umejadiliwa Afrika yote. Aliyetunukiwa ushindi William Ruto sikumpigia kura lakini binafsi nimeridhishwa na shughuli yote ilivyoendeshwa, vyombo vyote vya habari vina taarifa za matokeo kituo kwa kituo, data zipo kote, yeyote ameruhusiwa akokotoe kama kuna kasoro yoyote iwekwe wazi na taratibu zifuatwe.

MaCCM mtajaribu kila mbinu za kupaka tope ili muendelee na udhalimu wenu huko kwenu, lakini Afrika tubadilike jameni.
Hahahaaa kumbe wewe ni mtanzania uliyepiga kura Kenya
 
Back
Top Bottom