Watanzania walio wengi ni wavivu wa kufikiri, wepesi wa kusahau, wajuaji wa kuongea kuliko matendo

Watanzania walio wengi ni wavivu wa kufikiri, wepesi wa kusahau, wajuaji wa kuongea kuliko matendo

Mchimwachimego

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2020
Posts
358
Reaction score
271
Nakumbuka katika kampeni za 2015 na kurudi nyuma hoja kubwa za upinzani ilikuwa ni ufisadi na ubadhilifu wa mali za umma, alipoingia Rais John Joseph Magufuli amefanya mengi kuakikisha anayafuta kabisa, ametumia nguvu nyingi kuyaondoa lakini kwa kipindi hicho pesa ilikuwa nyingi sana lakini Watanzania hawakujua kuwa uwepo pesa nyingi mtaani kulisababishwa na huo ufisadi, wizi wa rasilimali, madawa ya kulevya, rushwa, mauaji ya tempo,mauaji ya albino, utoroshwaji wa madini,watumishi kutowajibika, wafanyakazi hewa, vyeti bandia,
magendo, uvuvi haramu, utakatishaji pesa haramu nk.

Wakati watu wamechoka haya mambo katika serikali na jamii hawakufanya tasmini kuwa sisi watanzania uchumi wetu haukua halisi kwa maana ya pesa halali kwa Malipo ulikuwa uchumi wa pesa haramu kila kitu kilikuwa dili, kuanzia bandarini,serikalini,tenda,hospitali na kila mahali. Sasa alipoingia Magufuli amesafisha na kuanza upya kwa maana kujitasmini kujaribu kudhibiti watu walewale wanalia kuwa uchumi mgumu tulieni jamani "no pain no gain" ili ufanikiwe lazima ujibane.
 
Yote hayo tunayajua man, tumeichoka CCM tu. NUKTA.
Ndugu yangu ata kama ni kweli lakini si chadema ya sasa ambayo anafahamika mmiliki halali,chama hiki tokea kimeanzishwa uenyekiti haujawai kuchukuliwa na mtu kutokea mkoa tofauti na Kilimanjaro na ukifuatilia kabineti yao hapo juu wote kutokea huko,kama kingekuwa na uongozi husioegemea mahali fulani watu tungeunga mkono lakini nakuomba ututajie watu muhimu ndani ya chama na wanakotokea.
 
Ndugu yangu ata kama ni kweli lakini si chadema ya sasa ambayo anafahamika mmiliki halali,chama hiki tokea kimeanzishwa uenyekiti haujawai kuchukuliwa na mtu kutokea mkoa tofauti na Kilimanjaro na ukifuatilia kabineti yao hapo juu wote kutokea huko,kama kingekuwa na uongozi husioegemea mahali fulani watu tungeunga mkono lakini nakuomba ututajie watu muhimu ndani ya chama na wanakotokea.
Bahati mbaya sana kwenye post yangu sijataja Chadema. Lakini tuendelee na mjadala
  1. UDP ya Joh Momose Cheyo, imewahi kuwa na wenyeviti wangapi unaowafahamu mpaka sasa?
  2. Tangu Leo Lwekamwa kafukuzwa TLP, kuna mwenyekiti ashachukua madaraka nje ya Mrema?
  3. Tangu 1995, CCM imekuwa na wagombea uraisi watatu (Mkapa, Kikwete na Magufuli, Chadema imekuwa na wagombea uraisi watatu (Mbowe, Slaa na Lissu), CUF imekuwa na mgombea uraisi mmoja (Lipumba), UDP imekua na mmoja (Cheyo). Kwa hiyo kama kuna udhaifu mahali tuangalie kwa kina sana
  4. CCM imetoa mwenyekiti yoyote wa chama taifa kutoka Zanzibar tangu imeanzishwa? Si ni washirika wetu wale katika muungano (Usije ukamtaja Mwinyi, huyu anatokea Mkuranga Pwani).
 
Bahati mbaya sana kwenye post yangu sijataja Chadema. Lakini tuendelee na mjadala
  1. UDP ya Joh Momose Cheyo, imewahi kuwa na wenyeviti wangapi unaowafahamu mpaka sasa?
  2. Tangu Leo Lwekamwa kafukuzwa TLP, kuna mwenyekiti ashachukua madaraka nje ya Mrema?
  3. Tangu 1995, CCM imekuwa na wagombea uraisi watatu (Mkapa, Kikwete na Magufuli, Chadema imekuwa na wagombea uraisi watatu (Mbowe, Slaa na Lissu), CUF imekuwa na mgombea uraisi mmoja (Lipumba), UDP imekua na mmoja (Cheyo). Kwa hiyo kama kuna udhaifu mahali tuangalie kwa kina sana
  4. CCM imetoa mwenyekiti yoyote wa chama taifa kutoka Zanzibar tangu imeanzishwa? Si ni washirika wetu wale katika muungano (Usije ukamtaja Mwinyi, huyu anatokea Mkuranga Pwani).
Duh! Aya nenda mkapake rangi ofisi.
 
Kwa kauli hizi za mkurugenzi wa tumeccm inaleta picha mbaya sana kwenye sura ya nchi..!


 
Sisi tutaunga mkono hivohivo kwani hatuna mbadala mwingine ccm tumeichoka jamani lichama limeanza kugeuka kuwa chama cha hovyo sana
Ndugu yangu ata kama ni kweli lakini si chadema ya sasa ambayo anafahamika mmiliki halali,chama hiki tokea kimeanzishwa uenyekiti haujawai kuchukuliwa na mtu kutokea mkoa tofauti na Kilimanjaro na ukifuatilia kabineti yao hapo juu wote kutokea huko,kama kingekuwa na uongozi husioegemea mahali fulani watu tungeunga mkono lakini nakuomba ututajie watu muhimu ndani ya chama na wanakotokea.
 
Nakumbuka katika kampeni za 2015 na kurudi nyuma hoja kubwa za upinzani ilikuwa ni ufisadi na ubadhilifu wa mali za umma, alipoingia Rais John Joseph Magufuli amefanya mengi kuakikisha anayafuta kabisa, ametumia nguvu nyingi kuyaondoa lakini kwa kipindi hicho pesa ilikuwa nyingi sana lakini Watanzania hawakujua kuwa uwepo pesa nyingi mtaani kulisababishwa na huo ufisadi, wizi wa rasilimali, madawa ya kulevya, rushwa, mauaji ya tempo,mauaji ya albino, utoroshwaji wa madini,watumishi kutowajibika, wafanyakazi hewa, vyeti bandia,
magendo, uvuvi haramu, utakatishaji pesa haramu nk.

Wakati watu wamechoka haya mambo katika serikali na jamii hawakufanya tasmini kuwa sisi watanzania uchumi wetu haukua halisi kwa maana ya pesa halali kwa Malipo ulikuwa uchumi wa pesa haramu kila kitu kilikuwa dili, kuanzia bandarini,serikalini,tenda,hospitali na kila mahali. Sasa alipoingia Magufuli amesafisha na kuanza upya kwa maana kujitasmini kujaribu kudhibiti watu walewale wanalia kuwa uchumi mgumu tulieni jamani "no pain no gain" ili ufanikiwe lazima ujibane.
Watanzania tunajimaliza wenyewe kwa kushindwa kutumia akili,. Tumerithi mambo ya kijinga kutoka kwa babu zetu, ukiangalia mpak leo kuna watanzania kibao ambao hawajui hata kwanin wamezaliwa
 
Back
Top Bottom