Watanzania walioishabikia kipigo cha goli 4-0 kutoka kwa Kaizer Chief wamekosa uzalendo


Neno uzalendo lishaharibiwa
 
Marehemu alikuwa na mdomo sana alitukana hadi wazee.

Acha tuzike uzalendo kwa mfu!
 
Hakuna uzalendo katika suala hili, Mimi nishabiki wa Simba lakini ni ujinga eti kuwataka Yanga watushabikie wala mimi siwezi kuwaombea mazuri Yanga hakuna kitu hicho kila mtu apambane na hali yake. Mimi huwa nachukia mtu analeta hoja ya uzalendo au mchezaji au kocha anahojiwa kwanini mmefungwa kusema "tunashukuru Mungu tu hakupenda ila mechi ijayo tuombeeni" acheni kusingizia Mungu mambo ya kijinga sema tu tumezidiwa tutajipanga next game team haishindi kwa maombi.
 
Mm ni mzalendo sana ndio maana nilikuwa naomba simba lifungwa goli 7 kwani kwa mchezo ule wangeweza kufunga hata 10 - 0
 
Mashabiki wa Utopolo wamekosa uzalendo hawa,sijui wamekula maharage ya wapi hawaa!
 
Mkishida mnataka mshangile wenyewe mkifungwa mnataka tushangilie wote...!
===
Kweli jana uzalendo uliniingia hasa bao la nne lilipofungwa huku kaburu kocha wa Kaiza Chief akitucheka....! Sorry akiwacheka Simba. Nirikasirika!
 
Na mwaka huu mnalo [emoji23][emoji23] Uzalendo huo vipi na wakati kila mtu ana uhuru wa kushangilia apendacho
 
Nyie mlituzomea wakati wa mechi na Namungo.mkasema ile ni mechi ya kina mama na kua tusubiri mechi ya wanaume saa moja.....sie tukasubiri game iliyofuata ya wanaume na jwa bahati nzuri matojeo yakawa yale na watu wakazimia mara mbili

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu wahi hospital haraka sana nahisi unanyemelewa na mental illness aisee. Mafanikio ya Tanzania kivipi? Nyie si mnajua kutoa burudani kwa pira biriani au?
 
Yaani nishabikie hawa hawa wapinga Uhuru hawa

[emoji14][emoji14][emoji14][emoji14][emoji14][emoji14][emoji14][emoji14][emoji14]


Waoshwe Tu mafuta tutawapaka na maseji wakizimia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…