Tetesi: Watanzania waliojiunga na kampuni ya BESTIBEI wametapeliwa

Tetesi: Watanzania waliojiunga na kampuni ya BESTIBEI wametapeliwa

officialBossmtoto

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2019
Posts
370
Reaction score
1,189
Bado kidonda cha Kalyinda hakijapona kwa Watanzania wengi, Tayari kuna tetesi na dalili zote za kipigo kizito kwa Watanzania wengine waliojiunga kwenye mchongo Pacha wa Kalyinda uitwao Bestei.

IMG_3504.jpg


Best Bei hii ilianza kutangazwa mara tuu Kalyinda ilipofungwa na walitoa mda kwa watu kukusanya hela na kusema mchongo huu ungeanza tarehe 20/10/2022 na kuwashawishi sana watu watunze na kuandaa hela zao ili tarehe 20/10 waweke hela nyingi wavune nyingi na waondoke.

IMG_3503.jpg


Cha kushangaza system imefungliwa leo, watu wameweka hela na tayari system imeshakua Hacked [emoji23][emoji23]

Watanzania wenye Tamaa ya utajiri wanazidi kua fursa kwa wanaoutafuta utajiri kwa mipango.

IMG_3502.png
 
Wengi wanaofanya hizi mambo sio wa kuonea huruma. Wanajua kuna risk na wanaamua kubahatisha

Wenyewe wanakuambiaga ukiingia mwanzoni unavuna sana
Ati hadi ife unakua ushajipatia pesa

Vipi hawa ambao imefunguliwa leo na inakufa leo[emoji23] hawa wamevuna au wamevunwa?

Alafu kumbuka wako ambao wanakua wamerubuniwa
 
Naona vipigo moto moto vinazidi kutembezwa miongoni mwa jamii za Mazezeta Nchini.

Imagine Taifa la millioni stini, Mazezeta millioni arobaini, matapeli wa kimataifa watakuwa wanapishana kwenye anga hili on daily basis.
notagain1.png
 
Wale waliokuwa wanatuma msg "hio hela tuma kwa namba hii" sasa wamehamia kufungua hivi vi e-commerce na kuendelea kuwatapeli Watanzania..
 
Vipi hawa ambao imefunguliwa leo na inakufa leo[emoji23] hawa wamevuna au wamevunwa?

Alafu kumbuka wako ambao wanakua wamerubuniwa
Hawa walijua tu watu watajiunga baada ya mwezi wataondoka ndio mana wakaamua wawapige za kichwa mapema
 
Wengi wanaofanya hizi mambo sio wa kuonea huruma. Wanajua kuna risk na wanaamua kubahatisha

Wenyewe wanakuambiaga ukiingia mwanzoni unavuna sana. Ati hadi ife unakua ushajipatia pesa
Yan Tanzania risk takers ni wengi sana[emoji23]kila siku wanatapeliwa madai yao wamebeba hii principal ya biashara.."the higher the risk the higher the profit"[emoji23][emoji23]..wanaamin kuna siku watapata faida kubwa sana
 
Bado kidonda cha Kalyinda hakijapona kwa Watanzania wengi, Tayari kuna tetesi na dalili zote za kipigo kizito kwa Watanzania wengine waliojiunga kwenye mchongo Pacha wa Kalyinda uitwao Bestei.

View attachment 2393165

Best Bei hii ilianza kutangazwa mara tuu Kalyinda ilipofungwa na walitoa mda kwa watu kukusanya hela na kusema mchongo huu ungeanza tarehe 20/10/2022 na kuwashawishi sana watu watunze na kuandaa hela zao ili tarehe 20/10 waweke hela nyingi wavune nyingi na waondoke.

View attachment 2393166

Cha kushangaza system imefungliwa leo, watu wameweka hela na tayari system imeshakua Hacked [emoji23][emoji23]

Watanzania wenye Tamaa ya utajiri wanazidi kua fursa kwa wanaoutafuta utajiri kwa mipango.

View attachment 2393163
Na bado
 
Yan Tanzania risk takers ni wengi sana[emoji23]kila siku wanatapeliwa madai yao wamebeba hii principal ya biashara.."the higher the risk the higher the profit"[emoji23][emoji23]..wanaamin kuna siku watapata faida kubwa sana

Yaani ni mwendo waRisk kila kitu kila mahali
 
Back
Top Bottom