Slowly
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 10,589
- 35,268
Wiki hii tumeshuhudia rabsha za hapa na pale nchini Afghanistan, jeshi la serikali ya Afghanistan limeshindwa kuwakabili wahuni wa Taleban wasiojua kukata tamaa au kushindwa, wanajeshi karbia wote wa Afghanistan walikimbia na Raisi wao pia akachochora.
Na kuna news za kimya kimya zinadai Makamanda wa Jeshi la Afghanistan wali-colaborate na wajuba, ili Marekani asepe maana ametengeneza makundi mawili yenye uadui na hvyo kuwaachia msala wa vita ya wenyewe kwa wenyewe
Vifaa vya kijeshi ambavyo jeshi la Afghanistan lilikabidhiwa na Marekani pamoja na nchi zingine vyote sasa hivi vinamilikiwa na Wataleban.
Sa hivi kila nchi inapambana kuondoka raia wake Afghanstani, huku wataleban inasemekana wameanza kufunga njia zote za kutokea hata njia ya kuelekea airport sa hv ipo kwenye great danger , vip raia wenzetu wa kibongo waliopo kule , washaridhika na life linaloendelea au mamlaka ndo zipo busy na Tozo.
Watalebani wakiwa wanaswali sku ya ijumaa
Na kuna news za kimya kimya zinadai Makamanda wa Jeshi la Afghanistan wali-colaborate na wajuba, ili Marekani asepe maana ametengeneza makundi mawili yenye uadui na hvyo kuwaachia msala wa vita ya wenyewe kwa wenyewe
Vifaa vya kijeshi ambavyo jeshi la Afghanistan lilikabidhiwa na Marekani pamoja na nchi zingine vyote sasa hivi vinamilikiwa na Wataleban.
Sa hivi kila nchi inapambana kuondoka raia wake Afghanstani, huku wataleban inasemekana wameanza kufunga njia zote za kutokea hata njia ya kuelekea airport sa hv ipo kwenye great danger , vip raia wenzetu wa kibongo waliopo kule , washaridhika na life linaloendelea au mamlaka ndo zipo busy na Tozo.
Watalebani wakiwa wanaswali sku ya ijumaa